NENO MOJA_Eden B Choir. Dar es salaam.

KARIBU TENA tuwe pamoja katika wimbo huu... Agizo la kuhubiri injili ni la kila aliye mwamini Yesu. Hakikisha unachukua hatua ya kuwaambia wengine habari za yesu, na hayo ndio mapanzi ya Mungu!. Karibu kwa kuutazama wimbo huu utajifunza mambo mengi sana. Asante sana.