KIJANA WA MAKACHU APATA MAJERAHA MABAYA BAADA YA KUANGUKA FORODHANI
Kijana mmoja wa kikundi cha burudani maarufu cha Makachu amejeruhiwa vibaya baada ya kuanguka kutoka sehemu ya juu wakati wa maonesho ya kuruka katika eneo la Forodhani, Mjini Zanzibar. #Makachu #Forodhani #AjaliZanzibar #AsamOnlineTV #BurudaniNaUsalama #ZanzibarNews #TukioLaLeo
