Mwigulu Nchemba Amlipua Mpina I Amesma Mpina Anafurahia Akiona Watu Wanaumia
Waziri wa Fedha na Mipango amesema kuwa Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, aliwataka waache utaratibu kufungia Bishara au shughuli za uzalishaji lakini ameshangazwa na Mbunge wa Kisesa Mhe. Mpina Luhaga ambaye anaona jambo hilo halina maana kwa sababu yeye anafurahia akiona watu wakiumia Mhe. Dkt. Mwigulu amesema kuwa Mhe. Mpina anaona jambo hilo la Mama kama halina maana kwa sababu anafurahia akiona watu wanateseka ndio maana wakati alipokuwa Waziri alikuwa anachoma nyavu za Wavuvi na kufunga viwanda. Endelea kuperuzi kurasa za zetu za mitandao ya kijamii na kutembelea akaunti yetu ya Youtube “Clouds Media” ili upate updates zote za Bunge. #KutokaBungeni #7bisha #CloudsDigitalUpdates

▶︎
MPINA AIBUA 'VARANGATI' BUNGENI, AMTAJA WAZIRI MKUU, SPIKA Amtaka Alete USHAHIDI

▶︎
Mwigulu Nchemba Ageuka Mbogo Bungeni I Awajia Juu Wanaongilia Fani za Watu I Tujadili Mambo Mengine.

▶︎
MPINA ATAKA WAZIRI MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE na KUPEWA KESI ya UHUJUMU UCHUMI, AONGEA KWA HASIRA...

▶︎
Standard Group yajibu vikali chapisho la Ruto X, yatetea uhuru wa vyombo vya habari

▶︎
KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"

▶︎
Perezida Kagame yavuze kuri Kayumba, Karegeya, Rudasingwa n’abandi | Ukuri kw’amateka no kwicuza

▶︎
KIMBEMBE KIZITO WAZIRI MWIGULU AFICHUA SIRI YA DENI LA TAIFA 'HATUTEGEMEI MSAADA'

▶︎
WAZIRI MWIGULU NA MPINA HAPATOSHI, AJA JUU KWA UKALI/ AMCHANA MAKAVU" ACHENI KUKOSOA HOVYO"

▶︎
Waziri Mpina aomba radhi upimaji Samaki kwa rula Bungeni

▶︎
KATAMBI APELEKEWA MASHAMBULIZI, WAKILI AMPA ZA USO, "HANA HAYO MAMLAKA, MWAMBIE AKUONYESHE KIFUNGU"

▶︎
MVUTANO MKALI BUNGENI: DKT. TULIA vs DKT MWIGULU, MUSUKUMA ASULUHISHA

▶︎
MBUNGE MUSUKUMA ALIVYO MTOLEA UVIVU WAZIRI MPINA

▶︎
Spika Aifuta Kauli ya Mwigulu Nchemba I Uganga wa Kienyeji Yawaumiza Wabunge I Mpina, Katani Watajwa

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

▶︎
MWIGULU ACHAFUKWA! AMPA MAKAVU MPINA BUNGENI - "UNAPINGA KILA KITU, VINGINE NI BORA KUULIZA"

▶︎
MANENO YA DK MWIGULU NCHEMBA MBELE YA JPM LEO

▶︎
Katambi: "Katazo la Mikutano ya Siasa ni Kinyume Cha Katiba" LHRC Yamtolea waja juu

▶︎
MAJIBU YA WAZIRI MWIGULU KUHUSU UGUMU WA MAISHA "KIPATO KIKIONGEZEKA, MATAMANIO YANAONGEZEKA"

▶︎
