KWA MARA YA KWANZA WENDY MAHAKAMANI AKISOMEWA SHTAKA LA MAUAJI YA MAMA YAKE.

Wendy Mrema anayekabiliwa na tuhuma za kumuua Mama yake Patricia Ibreck akishirikiana na watu wawili akiwemo mganga wa kienyeji, leo January 26, 2022 wote kwa pamoja wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Moshi na kusomewa shtaka la Mauaji. Wakili wa Serikali Agatha Pima akiwasomea Shtaka hilo watuhumiwa hao watatu mbele ya Hakimu Rehema Olambo, amesema watuhumiwa hao wanatuhumiwa kumuua Patrcia Ibreck Mrema aliyekuwa mfanyakazi wa hospital ya KCMC mnamo February 9, 2021 Mkoani Kilimanjaro. Mshtakiwa namba moja Katika Shtaka hilo, ni Mganga wa Kienyeji Omary Muhmoud Rang’ambo mwenye umri wa miaka 32 mwenyeji wa Kigamboni Dar es salaam, na mshtakiwa wa pili ni Wendy Ibreck Mrema mwenye umri wa miaka 41 (Mkulima) na Mshtakiwa wa tatu ni Waziri Seleman mwenye umri wa miaka 37 Mkulima wa Korogwe. Aidha, Wakili wa Serikali Agatha Pima katika shtaka hilo, aliendelea kusema watuhumiwa hao wa Kosa hilo la mauaji wanadaiwa kutenda kinyume na kifungu cha Sheria cha 196 na 197 cha Sheria ya kanuni ya adhabu Sura 16 marejeo ya 2019. Kesi hiyo imepangwa kuendelea February 9, 2022 baada ya mahakama hiyo ya Wilaya kutokuwa na uwezo wa kuisililiza. Hii ni GADI TV , Jina langu ni.... GADI TV ndiyo Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: [email protected] Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV Thanks. #live #breakingnews #kilimanjaro

ALIYEFARIKI NA KUZIKWA MIAKA 13 ILIYOPITA APATIKANA AKIWA HAI, ALEZA MAGUMU ALIYOPITIA.
▶︎

ALIYEFARIKI NA KUZIKWA MIAKA 13 ILIYOPITA APATIKANA AKIWA HAI, ALEZA MAGUMU ALIYOPITIA.

UPWEKE WA PACHA WA BINTI ALIYEMUUA MAMA YAKE WAANZA KUTESA, AFUNGUKA MATESO YA WENDY.
▶︎

UPWEKE WA PACHA WA BINTI ALIYEMUUA MAMA YAKE WAANZA KUTESA, AFUNGUKA MATESO YA WENDY.

MAPYA YAIBUKA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE NA KUMZIKA AKIWA NA WAGANGA.
▶︎

MAPYA YAIBUKA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE NA KUMZIKA AKIWA NA WAGANGA.

KIJANA AMUUA MAMA YAKE MZAZI KWA KUMCHOMA KISU MBAVUNI ZNZ, KISA KUMSAFISHA BABA
▶︎

KIJANA AMUUA MAMA YAKE MZAZI KWA KUMCHOMA KISU MBAVUNI ZNZ, KISA KUMSAFISHA BABA

WATOTO WAWILI WATOWEKA WAKIENDA SHULENI, MAMA YAO ASIMULIA "SHULE HAWAKUFIKA NA NYUMBANI HAWAKURUDI"
▶︎

WATOTO WAWILI WATOWEKA WAKIENDA SHULENI, MAMA YAO ASIMULIA "SHULE HAWAKUFIKA NA NYUMBANI HAWAKURUDI"

Aliyehukumiwa kumuua Mama yake, aachiwa huru
▶︎

Aliyehukumiwa kumuua Mama yake, aachiwa huru

Tourism: when women are looking for love
▶︎

Tourism: when women are looking for love

ALIYEUAWA NA MWANAE MOSHI AZIKWA, "UNAKWENDA CLUB KULA MAISHA, FEDHA ZA MAMA YAKO?"
▶︎

ALIYEUAWA NA MWANAE MOSHI AZIKWA, "UNAKWENDA CLUB KULA MAISHA, FEDHA ZA MAMA YAKO?"

PACHA WA BINTI ALIYEMUUA MAMA YAKE MOSHI ATUA TANZANIA ASIMULIA MAZITO YA WENDY.
▶︎

PACHA WA BINTI ALIYEMUUA MAMA YAKE MOSHI ATUA TANZANIA ASIMULIA MAZITO YA WENDY.

MGANGA ASEMA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE MOSHI NI RAFIKI YAKE
▶︎

MGANGA ASEMA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE MOSHI NI RAFIKI YAKE

TAZAMA JINSI MFANYABIASHARA ALIVYOAMUA KUNUNUA MBWA MMOJA KWA SHILINGI MILIONI 18 ARUSHA.
▶︎

TAZAMA JINSI MFANYABIASHARA ALIVYOAMUA KUNUNUA MBWA MMOJA KWA SHILINGI MILIONI 18 ARUSHA.

ALIYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE AKISHIRIKIANA NA WAGANGA, AACHIWA HURU, "WALIZIKA MWILI NYUMA YA NYUMBA"
▶︎

ALIYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE AKISHIRIKIANA NA WAGANGA, AACHIWA HURU, "WALIZIKA MWILI NYUMA YA NYUMBA"

HUYU NDIYE MGONJWA AMELAZWA KCMC KWA MIAKA 8, MFULULIZO /ANATUMIA OKSIJENI MAISHA YAKE YOTE
▶︎

HUYU NDIYE MGONJWA AMELAZWA KCMC KWA MIAKA 8, MFULULIZO /ANATUMIA OKSIJENI MAISHA YAKE YOTE

ALIYEUZIWA ENEO NA BINTI ALIYEMUAA MAMA YAKE AFUNGUKA ALIVYOTOA MAMILIONI.
▶︎

ALIYEUZIWA ENEO NA BINTI ALIYEMUAA MAMA YAKE AFUNGUKA ALIVYOTOA MAMILIONI.

KINACHOENDELEA MAHAKAMANI MOSHI KUHUSU KUACHIWA HURU OLE SABAYA KESI ya UHUJUMU UCHUMI...
▶︎

KINACHOENDELEA MAHAKAMANI MOSHI KUHUSU KUACHIWA HURU OLE SABAYA KESI ya UHUJUMU UCHUMI...

MFANYABIASHARA WA MOSHI LASWAI ASHANGAZA ATOA MILIONI 500 KWENYE HILI "SAMIA ZIMFIKIE, NAKUPA CHETI"
▶︎

MFANYABIASHARA WA MOSHI LASWAI ASHANGAZA ATOA MILIONI 500 KWENYE HILI "SAMIA ZIMFIKIE, NAKUPA CHETI"

UTATA MALI ZILIZOUZWA NA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE MOSHI, FAMILIA YAFUNGUKA.
▶︎

UTATA MALI ZILIZOUZWA NA BINTI ANAYEDAIWA KUMUUA MAMA YAKE MOSHI, FAMILIA YAFUNGUKA.

BINTI ASIMULIA ANAYOPITIA BAADA YA MAJIBU YA DAKTARI KUWA HANYWI MAJI YAKUTOSHA ARUSHA.
▶︎

BINTI ASIMULIA ANAYOPITIA BAADA YA MAJIBU YA DAKTARI KUWA HANYWI MAJI YAKUTOSHA ARUSHA.

KABWE APAGAWA NA USHINDI WA SIMBA, GOLI LA ELIE MPANZU
▶︎

KABWE APAGAWA NA USHINDI WA SIMBA, GOLI LA ELIE MPANZU

The Best WLW Love Stories in GL Series
▶︎

The Best WLW Love Stories in GL Series