MADAI: Dogo Apukutisha Utajiri wa Super Sami, Mke Atishiwa Maisha!
#SUPERSAMI MADAI: Dogo Apukutisha Utajiri wa Super Sami, Mke Atishiwa Maisha! MAPYA yameibuka kufuatia kifo cha aliyekuwa mfanyabiashara na tajiri wa mabasi ya Kampuni ya Super Sami, Samson Josiah almaarufu Super Sami, mkazi wa Magu mkoani Mwanza, baada ya mke wa ndoa, Lilian Limbe, kudai kuwa mali za mumewe zimeteketezwa na mdogo wa marehemu. Akizungumza na Global TV Online, Lilian amedai kuwa baada ya msiba, ukoo wa Josiah ulikaa na kumteua shemeji yake huyo kusimamia mali za marehemu, lakini haikuchukua muda mali hizo akaanza kuzifuja, jambo lililosababisha ukoo kumnyang’anya mali hizo na kuteua wasimamizi wengine wawili. Mama huyo anadai baada ya hapo alipata taarifa kuwa ndugu wa marehemu wamepeleka maombi ya mirathi mahakamani, jambo lilomlazimu kwenda mahakamani kupeleka pingamizi mali hizo zisigawiwe ili watoto wake wapate haki zao. Mbali na hayo, Lilian anadai alipopeleka maombi hayo, kesi iliendeshwa na mahakama ikamteua yeye kusimamia mirathi hizo, ambapo anadai alianza kutumiwa ujumbe wa vitisho na ndugu wa marehemu kisha kukamatwa na kuwekwa ndani pasi na utaratibu wowote, hivyo anaiomba Serikali imsaidie ili apate haki yake kwani aliyekuwa ameteuliwa kusimamia mirathi hizo mpaka sasa hajampatia nyaraka yoyote ya mali za marehemu. Mfanyabiashara huyo alipotea katika mazingira ya kutatanisha kwa siku kadhaa, kabla mwili wake kuonekana katika Mto Ndabaka wilayani Bunda mkoani Mara ukiwa umefungwa kwenye kiroba na kuharibika vibaya. bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe http://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Wake za Marehemu Wafichua Mazito, Kifo cha Mmiliki wa Super Sami

EMILY ALIEFATA UTAJIRI WA KUTOA KAFARA NDUGU NA MKE WAKE KISHA KUJA KUWA TAJIRI WA UVUVI NA BIASHARA

MMILIKI WA MABASI YA FRESH YA SHAMBA ZAMANI MATATANI

HASSANARY: Mfanyabiashara mkubwa aliyepitia msoto, kutoka kulala nje hadi kumiliki biashara kubwa

FISI AMUUA MTOTO WA MWAKA MMOJA - KATAVI

Musukuma aweka wazi utajiri wake, Ndege, VXR, na MIJENGO anayomiliki; ajibu wanaosema amehongwa V8

DENIS MPAGAZE: Mfahamu Mwanamalundi / Mwanaume Aliyekausha Miti kwa Kidole Wanawake Wakapata Kuni!!

👉DRAMATIC Women's 10,000m FINAL EVER! 😱 Kenya's Brutal Clean Sweep SHOCKS The World 🔥

Cooking A Massive Lamb Pilaf For a Mountain Village Feast!

MSINGI WA NGUMI ( J BLAS) part 1b

EXCLUSIVE: Milionea Sumry hataki tena kusikia biashara ya Mabasi, katuonyesha alikojichimbia

Vilio Vyatawala, Mazishi ya Mmiliki wa Super Sami, Aliyeokotwa Mtoni

WAMAYO TAJIRI WA PESA ZA KICHAWI MWANZA ALIEFILISIKA AELEZA SAFARI YAKE UTAJIRI NA KUUA NDUGU ZAKE

PART 1:THE REAL WORLD/CHIEF AKITOA HISTORIA YAKE/NILIZALIWA NA MIEZI 13/NILIMNG'ATA MAMA ANGU/UCHAWI

KISA CHA TAJILI SUPER SAMI KUTEKWA HIKIHAPA

Unbelievable Smart Worker & Hilarious Fails | Construction Compilation #5 #adamrose #smartworkers

BALAA! KAKA AMTIA MIMBA DADA'KE......

"MAISHA YANGU YAPO HATIANI" BILIONEA SHAMI ATOA HUDUMA NZITO KWA KAMPUNI HII/KAMANDA MULIRO AMKATAA

PART 3 : ISSA TAMBUU MARA YA KWANZA KUKUTANA NA DOTTO MAGARI,SIRI YA MAFANIKIO/KUFUNGUA KAMPUNI

