Salama Na Lady Jaydee Ep 24 | POWERHOUSE Part 1
#YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast SUBSRIBE TO OUR CHANNEL https://bit.ly/YahStoneTownSubs Listen our Podcast on Spotify Link https://spoti.fi/2Uxr6Cm ApplePodcast Link https://apple.co/2Ou1bru GooglePodcast Link https://bit.ly/GooglePodcastSalamaNa Audiomack Link https://bit.ly/YahStoneTownAudioMack YouTube Link http://bit.ly/YoutubeSalamaNa Kwa Judith Wambura Mbibo kuongea anayoyawaza bila ya kupepesa au kutafuta sapoti kabla hajafanya hivyo ndo hulka yake haswa, si wa kukwepeshakwepesha au kung’ata maneno ili yawe malaini zaidi kwa anayeambiwa asijikie vibaya labda. Kwake yeye lilivyo ndo lilivyo, kazi ya kupaka mawingu rangi huwaachia wahusika, yeye yake ni kuhakikisha mawingu yapo, na kwa hilo? Mimi namheshimu sana. Mwanangu mwengine ambaye hii ni mara yetu ya kwanza kukaa chini na kutia story ili wananchi waweze kupata majibu ya baadhi ya maswali waliyokua nayo muda mrefu sana pengine. Na round hii nilihakikisha sichezi mbali naye kama Chama na Mogella, na kwa bahati nzuri muda wake na wangu ukaenda vizuri kabisa kwa sote kuweza kuifanya kazi hii. Ijumaa ya kuamkia Jumamosi ili kuweza kuifanya kazi hii ulikua usiku mfupi sana kwangu. Mawazo yalikua huko tu kwa Jide na kwa kwa watu wengine watatu ambao nlikua na kikao nao. Na Nashkuru Mungu mambo yalienda kama yalivyopangwa. Kuanzia kulelewa na Kaka zake alipokuja Dar es Salaam na kuhakikisha anakua katika maadili mema kwahiyo haikua rahisi kwake kuhakikisha agenda yake ya kutaka kuwa msanii na mara nyengine alikua akichezea kichapo kwasababu tu alikua harudi nyumbani kwa wakati au nyendo zake zilipokua hazieleweki. Baba yake alifariki zamani na Mama yake alifariki 2017 kama nitakua sawasawa. Sikutaka kwenda kwenye details sana juu ya kifo cha Mama yake ila zaidi nilikua nataka tuongelee ubora wake ambao umekua ni kivutio kikubwa kwa wale wanaoanza na ambao tayari washaanza. Kujifunza kwake juu ya ukomavu, uvumilivu, jinsi ya kujibeba. Kutafuta nafasi, kutokata tamaa na kuandika historia. Na kwa hilo alituambia mengi. Kuna issue ya wivu, ndoa, kazi, mahusiano, kipaji na kuwa mwanamke ndani ya kiwanda kichanga ambacho kimezungukwa na wanaume na jinsi ya kupasua milango ya kuziba matabaka ili mambo yaende na historia iandikwe. Vipi aliwezaje ku push hivyo? Na lini haswa alijua ana kipaji chake kikubwa ambacho kinatakiwa kuonekana? Kuna support yoyote aliipata toka nyumbani? Na je baada ya mlango kufunguka, aliwezaje ku maintain hiyo nafasi? Mwaka huu wa 2020 Lady Jay Dee anatimiza miaka ISHIRINI toka ameanza kufanya mziki RASMI. Je hii ndo definition ya MAFANIKIO kwake? Yangu matumaini maongezi yetu yatasaidia sehemu flani na kuongeza jambo kwenye mbio zako za kutaka kuzifuata ndoto zako. Tafadhali enjoy. Love, Salama. Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One The Incredible & Msam... Follow: Twitter: / yahstonetown Instagram: / yahstonetown Facebook: / yahstonetown

Salama Na Lady Jaydee Ep 24 | POWERHOUSE Part 2

Salama Na Darassa Ep 16 | KAWIA UFIKE Part 1

Netwalking Show | Size 8 Breaks Down 💔 Why She Missed Her Mum's Burial After C-Section

PLAYLIST - LULU MICHAEL NYIMBO 10 AMBAZO ZIPO KWENYE PLAYLIST.

USICHOKIJUA KUHUSU WANAUME - MIN.SILVIA GUSTAV

Women Matters (2): Mtu aliyekufa anaweza kukutokea kiukweli ndotoni? Dr Elly atoa ufafanuzi

MwanaFA: Jinsi Muziki ulivyomjenga/ Pressure Ya Umaarufu, Uongozi na Familia

Mkasi | SO9E16 With Gadna : Extended Version

NONDO ZA BABA LEVO MBELE YA RAIS SAMIA MKOANI KIGOMA

WOMEN MATTERS: MWANAMKE ALIYE FUNZWA KUMPA HAKI YA UNYUMBA MUMEWAKE NI LAZIMA, HATA UKIMSUSIA

Salama Na Shilole Ep 5 | MAMA Part 1

Women Matters (4): Mwanamke aliyeolewa KUTONGOZWA hovyo ni ishara kuwa wanaume wanamuona ni MRAHISI

Mkasi - SO5E03 With P Funk

Embracing Changes and Wellness, Navigating Health Challenges Across Life stages I Dr. Garvin Kweka

Salama Na Madee Ep 18 | MPAKA MSHALE Part 1

OBINNA SHOW LIVE: FINDING LOVE IN THE CLUB - Nadia Mukami

MUNGU ANAKUSUBIRI Goodluck Gozbert (05.06.2026)

Lady Jaydee - Kilichomtoa Machozi kwa Professor Jay, Kitabu chake na Tamasha la Miaka 25

Emeka Ike’s ex-wife Suzanne finally speaks up: ‘He beat me until I was paralyzed’

