ALICHOKISEMA PROF.MKENDA BAADA YA KUFIKA KWENYE ENEO LA MRADI WA UJENZI WA CHUO CHA ARDHI MWANZA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa.Adolf Mkenda ametoa maelekezo kwa uongozi wa Chuo Kikuu cha Ardhi kuhakikisha kinaandaa wakufunzi wa kutosha kwaajili ya Chuo Kikuu Ardhi (ARU) Kampasi ya Mwanza kinachotarajiwa kuanza kujengwa hivi karibuni katika Kijiji cha Karumo Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza. Profesa.Mkenda ameyasema hayo Mara baada ya kutembelea na kufanya ukaguzi katika eneo ambalo kitajengwa Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU)Kampasi ya Mwanza, huku akisema kuwa kutokana na adhma ya Serikali ya kuboresha sekta ya Elimu kwa kuwekeza fedha nyingi katika Mradi huo ni vyema uongozi wa chuo hicho ukaendelea na jitihada za kuhakikisha wakufunzi wa kutosha wanapatikana ikiwa ni pamoja na wengine kupelekwa nje ya Nchi kwaajili ya kujifunza zaidi. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

Utekelezaji mradi wa HEET. Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu Ardhi Sengerema Mwanza
▶︎

Utekelezaji mradi wa HEET. Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu Ardhi Sengerema Mwanza

Prof Mkenda aelezea umuhimu wa vyuo vikuu kuandaa walimu
▶︎

Prof Mkenda aelezea umuhimu wa vyuo vikuu kuandaa walimu

PROF MKENDA AIBANA TCU UBORA WA ELIMU TANZANIA, ATOA TAMKO HILI ZITO..
▶︎

PROF MKENDA AIBANA TCU UBORA WA ELIMU TANZANIA, ATOA TAMKO HILI ZITO..

TAZAMA BARABARA YAKWAMA MKANDARASI KUKIONA
▶︎

TAZAMA BARABARA YAKWAMA MKANDARASI KUKIONA

Dkt. Fredrick Salukele Mratibu aelezea Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu Ardhi Sengerema Mwanza.
▶︎

Dkt. Fredrick Salukele Mratibu aelezea Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu Ardhi Sengerema Mwanza.

Jengo la Kituo Kikuu cha Polisi kuondolewa kupisha upanuzi wa Bandari ya Mwanza
▶︎

Jengo la Kituo Kikuu cha Polisi kuondolewa kupisha upanuzi wa Bandari ya Mwanza

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA
▶︎

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA

Prof MKENDA Aipa Rungu Bodi ya TCU Ifanye Kazi ya Kuwezesha//Msipepese Macho Kudhibiti Elimu Ya Juu
▶︎

Prof MKENDA Aipa Rungu Bodi ya TCU Ifanye Kazi ya Kuwezesha//Msipepese Macho Kudhibiti Elimu Ya Juu

Is This Africa Best University ? Ardhi University Dar Es Salaam 🇹🇿
▶︎

Is This Africa Best University ? Ardhi University Dar Es Salaam 🇹🇿

Sengerema kujengwa chuo kikuu cha ardhi cha thamani ya Bil.16, Mkandarasi apewa sharti
▶︎

Sengerema kujengwa chuo kikuu cha ardhi cha thamani ya Bil.16, Mkandarasi apewa sharti

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

KATARAMA MZIGONI TENA, LATRA YATOA MAAGIZO
▶︎

KATARAMA MZIGONI TENA, LATRA YATOA MAAGIZO

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION
▶︎

BREAKING NEWS: Listen to What Gachagua said after Ndindi Nyoro ADDRESS TO THE NATION

UJENZI DIT MWANZA WAPONGEZWA
▶︎

UJENZI DIT MWANZA WAPONGEZWA

THIS IS LIFE IN ETHIOPIA -  The most isolated place on earth ? - Travel documentary
▶︎

THIS IS LIFE IN ETHIOPIA - The most isolated place on earth ? - Travel documentary

#BMGTV Uzuri wa Tanzania (S01 E17) Mkeka umetulia Buswelu-Sabasaba
▶︎

#BMGTV Uzuri wa Tanzania (S01 E17) Mkeka umetulia Buswelu-Sabasaba

TUNAZO TAARIFA HUDUMA ZA SPA NA SAUNA ZINAZOHARIBU WATOTO WETU, KATAMBI AZIWEKA MTEGONI SALUNI
▶︎

TUNAZO TAARIFA HUDUMA ZA SPA NA SAUNA ZINAZOHARIBU WATOTO WETU, KATAMBI AZIWEKA MTEGONI SALUNI

BMG TV: Taarifa mpya ujenzi wa barabara ya Buhongwa- Igoma, Mwanza
▶︎

BMG TV: Taarifa mpya ujenzi wa barabara ya Buhongwa- Igoma, Mwanza

WAZIRI MKUU ANAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TAALUM TAASISI YA UHASIBU
▶︎

WAZIRI MKUU ANAWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA TAALUM TAASISI YA UHASIBU

TAZAMA| MATUMIZI YA SH BIL 2.7 UJENZI WA MAABARA YA MIONZI MWANZA
▶︎

TAZAMA| MATUMIZI YA SH BIL 2.7 UJENZI WA MAABARA YA MIONZI MWANZA