ASKOFU ASIMULIA MARA YA MWISHO AKIWA NA MASISTA KABLA YA KUFARIKI 'NILIKULA NAO, NA KUKUMBATIANA'
Askofu wa Jimbo Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila amesimulia kumbukumbu yake ya mwisho alivyokutana, kula na kukumbatiana na masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu Duniani, kabla ya ajali iliyochukua uhai wao. Masista hao, Lilian Kapongo, Neria De Simeone, Damaris Mbinya, Stellamaris Muthini na dereva wao, Boniphace Msonola walifariki dunia Septemba 15, 2025 katika ajali ya gari walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na lori katika Kijiji cha Bukumbi wilayani Misungwi, Mwanza. Miili ya masista watatu, Lilian Kapongo, Damaris Mbinya na Stellamaris Muthini pamoja na dereva, Boniphace Msonola imeagwa leo Septemba 18, 2025 katika Kanisa la Epifania Bugando jijini Mwanza. Akiongoza ibada hiyo na kutoa salamu za rambirambi, Askofu Msonganzila amesema alikutana na masista hao Septemba 8, mwaka huu katika ukumbi wa St. Dominic jijini Mwanza na kula nao chakula cha pamoja.

🔴LIVE: ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU , YA KUWAOMBEA NA MAZISHI YA MASISTA WANNE WAKARMELI

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

LIVE: IBADA YA MAZISHI YA HAYATI ASKOFU DKT. MARTIN SHAO USHARIKA WA KKKT LOLE - KILIMANJARO

BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

MANENO YA MWISHO YA FRANCIS NA ELINEEMA KAGGI WALIYOONGEA NA FAMILIA KABLA YA AJALI ILIYOUA WATANO!

HISTORIA YA LAUREANO RUGAMBWA/KARDINALI WA KWANZA MWEUSI BARANI AFRIKA.NA KIZITO MPANGALA

WANAO TAKA KUANDAMANA WAZIRI MKUU AWAJIA JUU, HATUNA UGOMVI NA VYAMA VYA SIASA

HATUBEMBELEZI PUNDA KWA MTEREMKO.Meru MPs face Ruto amid grabbing Meru forest to build State lodge

Padre Dominick Somola atoa Tafakari kuhusu Fumbo la Kifo | Ajali ya Masista wanne Wakarmeli

MIILI ya MASISTA WALIOFARIKI kwa AJALI ILIVYOAGWA KANISANI BUGANDO - MKUU wa MKOA MWANZA ASHIRIKI...

I WANT TO BE LIKE YOU! BURIERURI STUDENT TELLS RUTO IN MERU!!

Kanisa Katoliki Lalia Kifo cha Askofu Mkuu Novatus Rugambwa|Hii hapa Historia Yake

SIMANZI NA VILIO MASHUHUDA WAFUNGUKA AJALI MBAYA ILIYOUA MASISTA WANNE NA DEREVA MWANZA

🔴#LIVE: MIILI YA MASISTA WALIOFARIKI KWA AJALI INAAGWA KANISA KATOLIKI ISDORY BAKANJA, BOKO - DAR

KIFO CHA ASKOFU MUNGA, UBALOZI WA SWEDEN WAMLILIA/ WALETA FARAJA MSIBANI

ASKOFU MSONGANZILA AKIFUKIZA UBANI WAKATI WA MISA KUWAOMBEA MASISTA WANNE WALIOFARIKI -MWANZA

VILIO NA MAJONZI VYATAWALA MWILI WA ASKOFU DKT. MUNGA UKIAGWA KANISANI KKKT USHARIKA WA KUNDUCHI

JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

