NAIBU WAZIRI AAGIZA KUANZA KUTUMIKA KWA BANDARI HII ILI KUPUNGUZA MSONGAMANO KATIKA BANDARI YA DSM
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Sekta ya Uchukuzi Atupele Mwakibete ameiagiza mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kuhakikisha inaanza kutoa huduma kwa kutumia Bandari kavu kwa kuanza na Bandari ya Kwala ili kupunguza Shehena ya Mizigo inayosababisha msongamano katika Bandari ya Dar es Salaam. Mwakibete ameyasema hayo baada ya kutembelea na kukagua Bandari kavu ya Kwala ambayo Ujenzi wake umefikia asilimia 95, ambapo ujenzi wa Barabara ya zege Kutoka Vigwaza Mpaka Kwala yenye urefu wa kilometa kumi na tano na Ujenzi wa Reli inayoingia katika Bandari hiyo vimeshakamilika. “Mpaka sasa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan imewekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 80 kwenye ujenzi wa Bandari hii ya Kwala na miundombinu yake, hivyo naelekeza TPA anzeni kutoa huduma kupitia bandari hii mara moja ili kupunguza Mizigo na Maroli katika Bandari ya Dar es salaam ili muweze kuvutia watumiaji zaidi wa Bandari ya Dar es salaam na kuongeza mapato” Pia Mwakibete amekitaka kitengo cha Masoko cha TPA kutumia fursa hii ya kuanza kutumika kwa Bandari kavu ya Kwala kuitangaza Bandari ya Dar es salaam pamoja na Bandari zilizo chini ya mamlaka ya Bandari Nchini Kitaifa na Kimataifa ili ziweze kupata wateja wengi zaidi, kwani Bandari hasa Bandari ya Dar es Salaam inamchango Mkubwa sana katika kukuza pato la Taifa. #MillardAyoUPDATES

UJENZI WA BARABARA YA KAHAMA – BULYANHULU – KAKOLA WALETA MATUMAINI MAPYA YA MAENDELEO SHINYANGA

SIRI ZA KUTISHA ZA SAMAKI HATARI DUNIANI, SUMU YAKE NI KIFO, UNAKUA KIPOFU, HUFANYI MAPENZI MIEZI

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

Mji mdogo wa Kwala utakavyokuwa baada ya SGR kukamilika | "Mahoteli, masoko, nyumba na usafiri"

WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

UJENZI WA MABILIONI YA PESA KONGANI YA VIWANDA SINO TAN, WAZIRI AFIKA NA KUTOA MAAGIZO HAYA

Daraja Jipya la Jangwani: Maendeleo ya Ujenzi wa Daraja

የጣፎ አደባባይ ለገዳዲ ኩራ ጅዳ መንገድ ፕሮጀክት

MAAJABU MAKUBWA KUTOKA BANDARI YA KWALA, MSONGAMANO wa MALORI na MIZIGO SASA BASI...

MRADI WA UJENZI KONGANI YA VIWANDA SINO TAN, TRILIONI 15 KUKUSANYWA, UWEKEZAJI MKUBWA WAFANYIKA

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

BANDARI KAVU YA KWALA KUANZA KAZI

CHEKI MLINZI wa RAIS SAMIA ALIVYORUKA KWENYE GARI - MSAFARA wa RAIS SAMIA UKIINGIA SABASABA...

UJENZI WA MABILIONI YA PESA KONGANI YA VIWANDA SINO TAN INDUSTRIAL PARK ULIPOFIKIA, WATALII WAFIKA

MWANAFUNZI CHUO CHA SAUT ANASHIKILIWA KWA KUKOPESHA FEDHA KINYUME NA SHERIA, VYETI NA KADI ZA BENKI

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

🔴LIVE: MWENYEKITI TAIFA ACT WAZALENDO OTHMAN MASOUD ANAFUNGUKA MUDA HUU

Top 10 City Skylines of Dar Es Salaam in 2026. The largest City in East Africa

VIDEO: MAPYA VIWANDA 200 KUJENGWA KWALA, "VITAINGIZA USD MILIONI 300, VIPO VYA MADAWA"

