VIFO VYA NGURUWE VYA MTOA MACHOZI

Kutana na kijana Davy Mwalavila, kijana msomi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma aliyeamua kujikita kwenye kilimo Biashara akifuga Nguruwe na Kuku. pamoja na Janga alilopata la vifo vya nguruwe vilivyomtoa machozi, kamwe hakukata tamaa. anasema kuwa baada ya kilio chenye maumivu makali aliamka na kuanza biashara ya ufugaji upya huku akichekelea faida kubwa anayoipata. Wasiliana nae kwa namba 0718596586 ili ujifunze na kupata ujuzi wa ufugaji wa Nguruwe na Kuku.