SOMO:USIOGOPE | By Pastor TIMOTH SAMWEL RUBOHA

Usiogope” ni wito wa Mungu kwa watu wake ili waamini kuwa Yeye yupo pamoja nao, atawalinda na kuwaokoa katika kila hali. Ni maneno ya faraja, ujasiri, na tumaini — yakikumbusha kwamba hofu si sehemu ya maisha ya mtu anayeamini. Mfano katika Biblia “Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako” Isaya 41:10 Kwa hiyo, ujumbe wake mkuu ni: Mtegemee Mungu, si hali unazopitia-Yeye ndiye chanzo cha ujasiri wako. UNAWEZA KUTOA SADAKA YAKO YA IBADA KUPITIA; AIRTEL MONEY: +255 695 515 017 JINA:TIMOTH SAMWELI RUBOHA M-PESA: +255 747 371 869 JINA:TIMOTH SAMWELI RUBOHA CRDB AKAUNTI:015200049EW00 JINA:TAG AGAPE NYAKANAZI Pia usisahau kusubcribe ili uendelee kuungana nasi kwa ajili ya mafundisho zaidi na washirikishe wengine waweze kupata mafundisho ya NENO LA MUNGU na kujengwa kiroho! https://linktr.ee/tag_agape_revival_t... #biblia #ibadayajumapili #nenolamungu #tagart