MKE WA BILIONEA MSUYA AIBUA MAPYA MAHAKAMANI, ADAIWA KUTESWA NA KUPIGWA, MAHAKAMA YATOA UAMUZI HUU

MKE WA BILIONEA MSUYA AIBUA MAPYA MAHAKAMANI, ADAIWA KUTESWA NA KUPIGWA, MAHAKAMA YATOA UAMUZI HUU Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali hoja tatu zilizotolewa na upande wa utetezi katika kesi inayomkabili mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Mrita na mfanyabiashara Revocatius Muyella. Akitoa uamuzi huo Jaji Edwin Kakolaki katika kesi ndogo iliyotokana na mshtakiwa Mrita kupinga maelezo yake ya onyo wakati shahidi wa kwanza katika kesi ya msingi namba103/2018 akitoa ushahidi wake mahakamani Akitoa uamuzi wake Jaji Kakolaki amesema mshtakiwa Mrita alipinga kupokelewa kwa maelezo ya onyo akitoa sababu tatu ikiwemo, kuteswa, kuchuliwa maelezo nje ya muda uliowekwa kisheria pamoja na kutopewa haki za msingi wakati wa kuandika maelezo hayo. Amesema upande wa Jamuhuri ukipngozwa na wakili Mwandamizi Erick Tesha wakishirikiana na Wakili Mwandamizi , Gloria Mwenda na Caroline Matemo walikuwa na mashahidi watatu akiwemo WP 4707 Sajenti Mwajuma, na Deogratius kallanga ambaye ni daktari katika hospitali ya Temeke. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST:    • GLOBAL COMEDY/MOVIES   ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: [email protected] OR [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI:    • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!   ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

MALI ZA BILIONEA ERASTO MSUYA ZAITESA FAMILIA,FULL STORY HII HAPA
▶︎

MALI ZA BILIONEA ERASTO MSUYA ZAITESA FAMILIA,FULL STORY HII HAPA

MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAANZA KURUDISHWA KWA WATOTO NA SERIKALI
▶︎

MALI ZA BILIONEA MSUYA ZAANZA KURUDISHWA KWA WATOTO NA SERIKALI

Kush eshte Dritan Goxhaj? Flet Ilir Kulla | Zone e Lirë
▶︎

Kush eshte Dritan Goxhaj? Flet Ilir Kulla | Zone e Lirë

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026
▶︎

Unity Club Meeting | Opening Remarks by President Kagame | Kigali, 27 June 2026

2027 IS FINISHED If Ruto Wins Ol Kalou – Ndura Waruinge Terrifying Warning to Gachagua |Plug Tv
▶︎

2027 IS FINISHED If Ruto Wins Ol Kalou – Ndura Waruinge Terrifying Warning to Gachagua |Plug Tv

"MUME WAKO NILIMUONYA HAKUSIKIA, ANATEMBEA NA MKE WANGU, ILITUMIKA SIMU YAKE" MKE WA MWENYEKITI
▶︎

"MUME WAKO NILIMUONYA HAKUSIKIA, ANATEMBEA NA MKE WANGU, ILITUMIKA SIMU YAKE" MKE WA MWENYEKITI

MNYUKANO MALI ZA BILIONEA MSUYA: DADA AUMBULIWA MBELE YA DC MURO "HUJAMSOMESHA"
▶︎

MNYUKANO MALI ZA BILIONEA MSUYA: DADA AUMBULIWA MBELE YA DC MURO "HUJAMSOMESHA"

MAJIBU YA MKE WA BILIONEA MSUYA MAHAKAMANI "SIKUMBUKI IDADI YA MAGARI,ASKARI WALICHUKUA VITU VYANGU"
▶︎

MAJIBU YA MKE WA BILIONEA MSUYA MAHAKAMANI "SIKUMBUKI IDADI YA MAGARI,ASKARI WALICHUKUA VITU VYANGU"

IGP NAMUHORANYE, AFANDE UKOMEYE MURI RIB NA LT COL WA RDF IBYO BAKOZE NDABIZI❤️NGO NZAMENA UMUCERI?
▶︎

IGP NAMUHORANYE, AFANDE UKOMEYE MURI RIB NA LT COL WA RDF IBYO BAKOZE NDABIZI❤️NGO NZAMENA UMUCERI?

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI
▶︎

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace
▶︎

Where Is She?-Nakuru family's agony deepens as missing daughter Mary Njeri vanishes without a trace

MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!
▶︎

MTOTO WA MAREHEMU BILIONEA MSUYA AMLILIA MAGUFULI, MALI ZAMTESA!

Citizen TV Live
▶︎

Citizen TV Live

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI
▶︎

🔴LIVE:SERIKALI KWENYE HOJA NZITO na CHADEMA KUHUSU KATIBA MPYA/TUME ya JAJI LILA YATAKIWA MAHAKAMANI

UTETEZI WA MKE WA BILIONEA MSUYA, ADAI KUPIGWA NA ASKARI, ALIPEWA CHAI NA MAANDAZI
▶︎

UTETEZI WA MKE WA BILIONEA MSUYA, ADAI KUPIGWA NA ASKARI, ALIPEWA CHAI NA MAANDAZI

Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru
▶︎

Mjane wa bilionea Msuya aachiwa huru

MWANASHERIA afafanua kwanini MKE wa Bilionea Msuya AMEACHIWA huru kwenye kesi ya MAUAJI *Exclusive
▶︎

MWANASHERIA afafanua kwanini MKE wa Bilionea Msuya AMEACHIWA huru kwenye kesi ya MAUAJI *Exclusive

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

WAKILI AFICHUA DHAMANA YA MTOTO WA BILIONEA MSUYA- "Tulitakiwa Kutoa Milioni 200"
▶︎

WAKILI AFICHUA DHAMANA YA MTOTO WA BILIONEA MSUYA- "Tulitakiwa Kutoa Milioni 200"

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA
▶︎

REKA MBERURIRE RWOSE NARAHUNZE, NACIYE MU NZIRA Y'URUPFU NSIGA BYOSE NARUHIYE NGO NDOKORE UBUZIMA