Usihofu Wala Usiogope Chochote | Mchungaji Erick C Ndauka | Mtongani

USIOGOPE WALA USIHOFU CHOCHOTE | Mchungaji Erick C Ndauka Mtongani Mchungaji Erick C Ndauka kutoka Voice of God Church Mtongani anakujulisha: Hata kama unatabiriwa mambo mabaya, usiogope. Paulo alionyeshwa mateso yanayomsubiri, lakini akaamua kwenda tu kwa sababu ya Yesu. Wewe pia nenda na imani. -Je, maisha yako unayoishi yanaweza kumfanya mwingine kuvutwa kwa Mungu?????? 📖 Neno: Matendo 21:8-14 "Agabo... akatabiri mateso ya Paulo... Lakini Paulo akajibu, Mimi niko tayari kufungwa, na kufa hata Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu." 🙏 NENO LA UJASIRI Watu watakuambia "usifanye hivi, utapata shida". Lakini kama Mungu amekuita, nenda tu. Usihofu chochote, kwa maana Yeye yuko pamoja nawe. 👉 SHARE kwa mtu anaogopa kuanza 👉 SUBSCRIBE VOICE OF GOD CHURCH @VOICEOFGODMTONGANICHURCH #Matendo21 #Usiogope #Usihufu #UjasiriWaPaulo #MchungajiErickNdauka #VoiceOfGodChurch #Mtongani #Mahubiri #NenoLaMungu #NikoTayari Mungu akujalie moyo wa Paulo - usiogope, nenda tu 🙏