MAZISHI YA WATANZANIA WALIOFARIKI KWENYE AJALI YA MV NYERERE

Tarehe 20 Septemba 2018 Tanzania ilipata pigo baada ya kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake kati ya kisiwa cha Bugolora na Ukara kupinduka na kuzama kikiwa umbali wa mita zisizozidi 150 kufika pwani ya Ukara. Kufuatia ajali hiyo zaidi ya watu 200 walipoteza maisha huku watu 41 wakitambuliwa na Serikali kunusurika kwenye ajali hiyo. Rais John Magufuli akatangaza siku 4 za maombolezo kuanzia tarehe 21 hadi 24 Septemba. Sambamba na hilo mnamo tarehe 23 Septemba Tanzania ikafanya maziko ya kitaifa ya (baadhi) miili iliyoopolewa kwenye ajali hiyo. Haya hapa ni matangazo ya shughuli nzima ya maziko ya kitaifa yaliyorushwa moja kwa moja na #AzamTWO

MWANZO MWISHO: Shuhudia shangwe za Wanaukara Mv. Nyerere ilivyotolewa majini
▶︎

MWANZO MWISHO: Shuhudia shangwe za Wanaukara Mv. Nyerere ilivyotolewa majini

MAAJABU YA MELI YA MV BUKOBA, INAHUZUNISHA SANA
▶︎

MAAJABU YA MELI YA MV BUKOBA, INAHUZUNISHA SANA

LIVE UKARA: Kivuko cha 'MV NYERERE' Kikinyanyuliwa!!
▶︎

LIVE UKARA: Kivuko cha 'MV NYERERE' Kikinyanyuliwa!!

Britain's Got Talent 2026: Top 10 BEST Auditions So Far!
▶︎

Britain's Got Talent 2026: Top 10 BEST Auditions So Far!

DC ATOA SIKU 14 ZA UCHUNGUZI SAKATA LA MABAUNSA WANAODAIWA KUVUNJA MAGETI YA MAKAZI UPANGA
▶︎

DC ATOA SIKU 14 ZA UCHUNGUZI SAKATA LA MABAUNSA WANAODAIWA KUVUNJA MAGETI YA MAKAZI UPANGA

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE  MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO  TABORA
▶︎

MWANAMKE ALIYE MTEKA MTOTO SHULENI NA KUTAKA ALIPWE MILIONI 20,AKAMATWA NA MTOTO TABORA

Simba Queens 1-1 Alliance Girls | Highlights | Tanzania Women Premier League 12/06/2026
▶︎

Simba Queens 1-1 Alliance Girls | Highlights | Tanzania Women Premier League 12/06/2026

CHEKI KIVUKO CHA MV UKARA II  "HAPA KAZI TU"  KILIVYOINGIZWA MAJINI KWA MARA YA KWANZA
▶︎

CHEKI KIVUKO CHA MV UKARA II "HAPA KAZI TU" KILIVYOINGIZWA MAJINI KWA MARA YA KWANZA

I zhdukur prej një jave, a është eleminuar Englant Koçi?/ Vrasja në Kamëz/ Hetimet për Zvërnecin-TPZ
▶︎

I zhdukur prej një jave, a është eleminuar Englant Koçi?/ Vrasja në Kamëz/ Hetimet për Zvërnecin-TPZ

AJALI TUNDUMA - WATANO WAFARIKI na WENGINE WAJERUHIWA - GARI la ABIRIA LAGONGA LORI...
▶︎

AJALI TUNDUMA - WATANO WAFARIKI na WENGINE WAJERUHIWA - GARI la ABIRIA LAGONGA LORI...

Ajali ya MV Nyerere: Zaidi ya 100 wathibitika kufariki dunia
▶︎

Ajali ya MV Nyerere: Zaidi ya 100 wathibitika kufariki dunia

African Savannah | Deadliest Battles for Survival | FULL EPISODE | Wildlife Documentary
▶︎

African Savannah | Deadliest Battles for Survival | FULL EPISODE | Wildlife Documentary

SIMANZI: WATAWA WANNE na DEREVA WAO WAFARIKI DUNIA AJALI MBAYA ya GARI MWANZA - KAMANDA AELEZA...
▶︎

SIMANZI: WATAWA WANNE na DEREVA WAO WAFARIKI DUNIA AJALI MBAYA ya GARI MWANZA - KAMANDA AELEZA...

BREAKING: Tazama  Fundi Mkuu wa MV. Nyerere ameokolewa akiwa HAI
▶︎

BREAKING: Tazama Fundi Mkuu wa MV. Nyerere ameokolewa akiwa HAI

Mhandisi wa kivuko cha MV Nyerere apatikana akiwa hai
▶︎

Mhandisi wa kivuko cha MV Nyerere apatikana akiwa hai

🔴 #ZBCLIVE:- TAARIFA A HABARI -IJUMAA - 12/06/2026
▶︎

🔴 #ZBCLIVE:- TAARIFA A HABARI -IJUMAA - 12/06/2026

Katar – Schweiz Highlights | Gruppe B, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Katar – Schweiz Highlights | Gruppe B, FIFA WM 2026 | sportstudio

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

BREAKING: KIVUKO CHA MV. NYERERE KIMEZAMA KIKIWA KIMESHEHENI ABIRIA
▶︎

BREAKING: KIVUKO CHA MV. NYERERE KIMEZAMA KIKIWA KIMESHEHENI ABIRIA