NEBUKADINEZA by IMANI CHOIR

Nebukadineza mfalme wa babeli alipingana na Mungu, akaifanya sanamu ili watu wote waiabudu. Ila vijana wayahudi CHADRACK, MECHACK na Abdenego walijazwa roho wa Mungu wakakataa kuiabudu. Walimwabudu Mungu wa mbingu pekee yake amabaye anaweza yote. Walitupwa motoni wakiwa watatu, ila wakaonekana ni wane, mfalme Nebukadineza alipo ona hivyo akaogopa Mungu, na ikajulikana kwamba Mungu wa mbonguni ndiye Mungu wa kweli. Mungu ni Mungu. Mungu anaweza yote. Msifuni Mungu wetu, aliye umba mbingu na duniya.