MISHKAKI YA MAINI NA UROJO WA UKWAJU

Mahitaji Maini kiasi 700 gms Mafuta ( kama utapenda) Bizari za kurost Kijiko 1 cha kula bizari ya uzile Kijiko 1 cha kula pilipili manga nzima Kitunguu thom kiasi chembe Tangawizi mbichi ukubwa wa kidole cha gumba Majani ya nanaa ( kama utapenda) Ndimu au limao Mafuta ya zeti au yoyote kjk 1 kikubwa au zaidi Chumvi kiasi Kjk 1 cha kulia mchanganyiko wa Bizari na pilipili manga Urojo wa Ukwaju Roweka ukwaju kiasi gram 50-70 kwenye kikombe 1 cha maji ya moto ½ kikombe cha urojo wa ukwaju Chembe 2-3 za kitunguu thom Kipande chembamba cha tangawizi mbichi ½ kjk cha chai chai bizari ya ya pilipili manga Chumvi kiasi Sukari ½ kjk cha chai Nyanya 1 kubwa ( ilochemshwa) Maji ya ndimu au limao ½ kjk cha chai Pilipili mbich nyekundu au kijani 1 au zaidi ENGLISH VERSION OF THIS RECIPE CAN BE FOUND ON THIS LINK    • CALF LIVER MISHKAKI WITH SPICY TAMARIND SA...   Aroma of Zanzibar social media   / fathiya.ismail     / aromaofzanzibar   Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas https://www.youtube.com/results?searc... Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka https://www.instagram.com/faroukambok... Music courtesy   / contemplative-middle-east-oud-improvisation   This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world