Rais Magufuli aweka wazi jinsi anavyoliamini jeshi

“Kila mara panapotokea ‘issue’ yoyote…inaposhindikana kwingine kokote, ‘solution’ ambayo huwa ninajua imebaki ni jeshi la wananchi,” ni kauli ya Rais Magufuli akizungumza baada ya kukagua magari ja Jeshi la Wananchi JWTZ yatakayotumia kubeba korosho endapo wafanyabiashara watashindwa kuzinunua.