KIKOSI CHA KUZUIA MAGENDO KMKM KIMEKAMATA NYARA ZA SERIKALI NA VITO KATIKA BANDARI YA FUMBA.
Mkuu wa Utawala na fedha KMKM Kepten Fadhil Ramadhan Mberwa amesema wamekamata Watuhumiwa wawili katika Jahazi wakitokea Bagamoyo kuja Zanzibar ambapo wamekutwa na kipande cha pembe ya ndovu chenye thamani ya zaidi ya shilingi million 6 na vito thamani vinavyosadikiwa kuwa ni Madini. Mberwa amesema watuhumiwa hao wamedai kuwa nyara hizo wamepewa na Mganga wa Kienyeji kwa lengo la kuhuwisha Biashara zao. Afisa Wanyamapori idara ya Misitu Abdul-latif Ibrahim Salmin amethibitisha kuwa kipande cha pembe kilichokamatwa ni Pembe ya Ndovu na Serikali itachukuwa taratibu za Kisheria. Awali Mkuu wa Kambi Bwefum Luten Kamanda Mohammed Suleiman Hemed amethibitisha kukamatwa kwa magendo hayo.

▶︎
KMKM WATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MASOUD ALIOATUNUKU VYEO WAVISHWA COMMODORE AWAVISHA MASTER

▶︎
MAAJABU ya MBUYU, KISIMA cha BAGAMOYO, KABURI la WAPENDANAO na MSIKITI wa kale!

▶︎
MANISPAA YA MJINI ZANZIBAR YATOA AGIZO LA KUONDOA WAFANYABIASHARA WASIORASMI

▶︎
RASMI ZNZ KUANZA UJENZI BARABARA ZA JIJI LA ZNZ MALINDI, MNAZI MMOJA PATAKUA HIVI, BIL 50.8 KUTUMIKA

▶︎
BREAKING: Ruto in Shock After Sifuna Unite in ODM Party | Boniface's Dream, Rogers Kakasungura

▶︎
KMKM YAKAMATA ZAIDI YA TANI 6 ZA MCHELE ZIKISAFIRISHWA KIMAGENDO KUELEKEA TANGA

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
Mkuu wa kikosi cha KMKM ameripoti tayari kwa kuanza kazi

▶︎
UFUNGAJI WA MAFUNZO YA AWALI YA MKUPUO WA 3 WA IDARA MAALUM ZA SMZ YALIYOFANYIKA MAISARA. 06/02/2020

▶︎
EXCLUSIVE: KIONGOZI WA WAMASAI ZANZIBAR AFUNGUKA BAADA KUPIGWA 'STOP' KUTEMBEA NA SIME NA VIRUNGU

▶︎
TAZAMA MWANZO MWISHO BALAA LA ASKARI WA KIKOSI MAALUM (KMKGM) WAKATI WAKUFUNGA MAFUNZO.

▶︎
MAMBO SASA MAZURI TAZAMA HALI YA KIWANJA KIPYA CHA NDEGE HUKO NUNGWI ZANZIBAR

▶︎
THE BODY OF THE FORMER REPRESENTATIVE OF MTAMBWE CONSTITUENCY, HON. HABIBU ALI MOHAMED, PASSED AW...

▶︎
Ujenzi wa Uwanja mpya wa Simba - Mo Simba Arena - Maendeleo ya ujenzi wa ukuta wa uwanja #NguvuMoja

▶︎
WAZIRI WA OR-TMSMIM MHE. MASOUD KUWAPANDISHA VYEO MAAFISA WA VIKOSI VYA IDARA MAALUM ZA SMZ.

▶︎
MKUU WA JESHI LA KUJENGA UCHUMI JKU ATEMBELEA KIKOSI 831 MGULANI/ARIDHISHWA NA MIRADI YA KIKOSI.

▶︎
SIKILIZA HOTUBA YA RAIS WA KANISA LA WAADVENTISTA WA SABATO AKIITOA MBELE YA WAUMINI NA TANZANIA.

▶︎
Wanga-Junet WHISKED from Busia Rally as angry Youth STORM the Event amid Ruto Campaign

▶︎
JE, MPANGO WA BARABARA WA DKT KHALID KIZIMBANI-MIWANI-KIBOJE UTAOKOA UCHUMI WA ZANZIBAR MWAKA 2025?

▶︎
