Rais Magufuli Amtumbua Waziri wa Nishati na Madini Prof Muhongo, Amtaka Aachie Madaraka
Rais Magufuli Amtaka Muhongo Aachie Ngazi, Aivunja Bodi ya TMAA na Kumfuta Kazi Mkurugenzi Wake Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Mei 24, 2017 wakati wa kupokea Ripoti ya Kamati Maalum ya Utafiti wa Mchanga (Makanika) uliomo kwenye makontena yaliyozuiliwa kwenye bandari tofauti hapa nchini, pamoja na hatua nyingine, amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ajitathmini kwa kina na ikiwezekana aachie ngazi mara moja kufuatia madudu yanayoendelea kwenye wizara yake ikiwemo upotevu wa madini. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Akipokea ripoti hiyo, Rais Magufuli pia amemfuta kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), na kuivunja bodi hiyo kwa upotevu wa madini huku akiitaka TAKUKURU na vyombo vya dola kuwachunguza na kuwachukulia hatua wafanyakazi wa bodi hiyo. Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Aidha Rais Magufuli ameonesha kusikitishwa mno na ripoti hiyo ambayo imebainika kwamba kiwango kikubwa cha madini kinachotoroshwa nje ya nchi. / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1

MAGUFULI AMVAA KICHERE, AMTAJIA MAKOSA ALIYOFANYA "NITAKUTUMBUA TENA"

#BREAKING: LUGOLA OUT! MAGUFULI AMGEUKIA “Sikuhitaji KWENYE nafasi Hii”

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA RIPOTI YA UCHUNGUZI WA MADINI YA ALMASI NA TANZANITE

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU

Profesa Muhongo akiongea kwa jazba na uwongo bungeni bila aibu

🔴#LIVE: RAIS MAGUFULI AKASIRIKA - "ZIKO WAPI MILIONI 7, UNANIUDHI NITAFUKUZA MTU"..

RIPOTI YA PILI YA MCHANGA: RAIS MAGUFULI Alia na Kuuliza Nani Ameturoga?

RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MSIMAMO WA SERIKALI KUHUSU BEI YA KOROSHO NCHINI 2018

LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam

Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!

Prof. ANNA TIBAIJUKA ACHARUKA/ WATU WANAINGILIA UTENDAJI/BANDARI/ DP WORLD/ MKATABA UREKEBISHWE

Rais Magufuli ametaja mshahara wake leo

Watumishi Hewa Wamliza Magufuli, Ajutia Kuwa Rais

Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI MJINI KATESH BAADA YA KUSIMAMISHWA NA WANANCHI 06 MAY 2016 mp4

Kimenuka, Magufuli Akabidhiwa Majina ya Watumishi wenze Vyeti Feki

MAGUFULI AWAKA, AMSHUSHA BODYGUARD KWENYE GARI, AMNYANG'ANYA MKURUGENZI GARI

Rais Magufuli tena kuhusu sakata la dawa za kulevya, agizo jipya kuhusu Watanzania waliofungwa nje

