Malecela awavunja watu mbavu nyumbani kwake "Ninavyokupenda nikikuambia maneno mabaya jua nimelewa"
Wakati wa sherehe iliyofanyika nyumbani kwake leo wakati akitoa neno la shukrani, Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela amewavunja mbavu waliohudhuria alipomsimamisha mke wake Anne Kilango Malecela na kumwambia anavyompenda akimsikia akimsemea maneno mabaya mahali basi aelewe kwamba atakuwa amelewa. Malecela ameyasema hayo wakati wa hafla ya kusheherekea miaka 90 tangu Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela azaliwe iliyofannyika nyumbani kwake Kilimani jijini Dodoma leo Jumapili, Aprili 21, 2024 ambapo Malecela alizaliwa Aprili 19, 1934.

▶︎
MSIBA WA LEMUTUZ: MZEE JOHN MALECELA AZUNGUMZA KWA UCHUNGU/ AMUOMBEA HADHARANI/ MMEONGEA MENGI..!

▶︎
Ekskluzive/Flet gruaja 'e rrezikshme' pas 'non grata-s': Rama, a e ke pyetur veten nëse je shqiptar?

▶︎
Mtazame Rais Magufuli alivyotangaza kutengua ukuu wa mkoa Anna Kilango

▶︎
NDUGAI: MZEE MALECELA ALIKUJA USIKU KUNIAMBIA NIJIUZULU..

▶︎
MBUNGE ANNA KILANGO AWEKA KAMBI KIJIJINI, ONA CHUMBA ANACHOLALALA, APEWA ULINZI..

▶︎
MZEE SAMWEL MALECELA AJIKAZA KUMUELEZEA HAYATI MSUYA - AFICHUA ALIVYOJIFUNZA KWENYE UONGOZI WAKE...

▶︎
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Mdogo wa Dkt. Mwele Malecela afunguka A-Z alivyomuuguza dada yake nchini Uswisi hadi kifo

▶︎
MANENO MAZITO YA CLEOPA MSUYA KWA MZEE MALECELA,AMTAJA IDD AMIN,MKE KUFARIKI,UWANJA WA NDEGE

▶︎
ANNE KILANGO MALECELA AELEZA MUMEWE ALIVYOMDHALILISHA “ALICHUKUA PASI AKAIPBANDIKA MGONGONI”

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Mikutano ya hadhara ya kisiasa Tanzania, yapigwa marufuku

▶︎
Dakika 45 na John Malecela.

▶︎
NAPE AKERWA NA DADA ALIYESEMA ANALALA NA NYOKA ILI APATE HELA “ SITAMVUMILIA”

▶︎
TUJIKUMBUSHE SHEREHE YA DKT.JOHN SAMWEL MALECELA KUTIMIZA MIAKA 90

▶︎
MBUNGE ANNE KILANGO MALECELA "HII SIO HAKI, SPIKA CHUKUA HIZI DOCUMENT”

▶︎
Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

▶︎
Mazungumzo na Mama Anna Tibaijuka: Oktoba 29 | Sakata la Yuda |Tanganyika-Zanzibar| Kesi Tundu Lissu

▶︎
Kwa HASIRA mama Anna Malecela amvaa Waziri "Ametuma watu wake, mimi sitaunga mkono"

▶︎
