Ajali ya "Uso kwa Uso" yaua watano na kujeruhi 54 Shinyanga
Watu watano wamefariki dunia na wengine 54 kujeruhiwa mkoani Shinyanga katika ajali iliyohusisha basi la abiria la kampuni ya Super Najimunisa (T413 DAY) lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na Fuso ( T123 DJH) lililokuwa na shehena ya dagaa likielekea Dar es Salaam. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Shinyanga, ACP Leonard Nyandahu amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa 8 na dakika 8 usiku katika mtaa wa Viwandani eneo la Ibidakuli manispaa ya Shinyanga.

▶︎
Ajali ya Basi Shinyanga | Lagongana USO kwa USO na FUSO

▶︎
BASI LA FRESTER LAPATA AJALI BAADA YA KUKAGULIWA NA KAMANDA WA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI NCHINI

▶︎
TAARIFA KAMILI: AJALI ya BASI SHINYANGA ILIYOUA WAWILI - KUJERUHIWA 46 - CHANZO MWENDOKASI...

▶︎
AJALI: BASI LA HAPPY NATION LAGONGANA NA LORI TABORA, WATU 19 WAJERUHIWA, MMOJA AFARIKI

▶︎
GARI LA JWTZ LAGONGANA NA BASI LA NAAMAN'S TABORA/ DEREVA AELEZEA CHANZO

▶︎
AJALI MBAYA BABATI! ABIRIA WANUSURIKA KIFO, BASI LIKIGONGANA NA LORI

▶︎
Watu 59 walivyonusurika katika ajali Shinyanga.

▶︎
MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

▶︎
He abandoned me at 3 months pregnant, I wish he told me why | Tuko TV

▶︎
AJALI YA BUS SHINYANGA, WAWILI I.C. U “SERIKALI ITASIMAMIA MAZISHI”

▶︎
🔴Taarifa ya Habari, Saa Mbili Kamili Usiku, Januari 04, 2024.

▶︎
WATU WAWILI WAFARIKI AJALI YA BASI NA LORI SHINYANGA

▶︎
EXCLUSIVE: 'FAHAMU MENGI KUHUSU KANISA LETU JIPYA TUNALOJENGA'

▶︎
How US Air Force B 52 Pilot Performed an Emergency Takeoff at Full Speed

▶︎
Mvua Yaharibu Makazi Kahama

▶︎
Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024

▶︎
Great idea! A chainsaw bike that will blow your mind

▶︎
AJALI YA MOTO YAUA MAMA NA WATOTO KAHAMA/BABA MWENYE NYUMBA ANUSULIKA

▶︎
Aangua kilio kwa UCHUNGU mbele ya MAKONDA, Wauguzi wa hospitali ya Kahama wamuomba hela

▶︎
