🔴JESHI LA POLICE WANAOTAKA KUANDAMANA 7// 2026, WATOA TAMKO, WENGINE WAKAMATWA

Jeshi la Polisi Nchini Tanzania kupitia kwa Msemaji wake Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime limesema linafuatilia kwa karibu wale wote wanaohamasisha matukio ya uvunjifu wa amani Nchini kupitia mitandao ya kijamii. "Watu hao awali walikuwa wakihamasishana kufanya maandamano nchini Tarehe saba Julai. Miongoni mwa vitendo wanavyohamasisha sasa ni kufunga barabara, uchomaji moto wa shule ili kusababisha taharuki kwa wazazi na walezi, kushambulia wananchi, kukata watu vichwa na kuua baadhi ya watu, kuharibu mali za umma na binafsi." Imesema taarifa ya Polisi ya leo Juni 19, 2026. Kulingana na Kamanda Misime katika taarifa yake ya leo Ijumaa Juni 19, 2026, watu hao pia wamekuwa wakidiriki kutumia mitandao ya kijamii kuhamasishana kuvamia askari wa Vyombo vya ulinzi na usalama kwa lengo la kuwapora silaha ili kuzitumia kufanya uhalifu wanaoupanga kuufanya Nchini. "Jeshi la Polisi linapenda kusisitiza kuwa uhamasishaji wa uhalifu huo wa kijinai unaofanywa chini ya kivuli cha maandamano haukubaliki kwasababu ni kinyume na sheria za Nchi, misingi ya utawala wa sheria, pamoja na mikataba ya Kikanda na Kimataifa na ni hatari kwa usalama wa Nchi." Amesema Kamanda Misime. Polisi imesisitiza kwamba hakuna haki ya kuhamasisha kufanya vitendo vya uhalifu kama vinavyokusudiwa kuhatarisha usalama wa maisha ya watu na mali zao na vinavyokiuka haki za watu wengine kwa kuwajengea hofu kila siku na kutaka kuwanyima uhuru wao wa kufanya shughuli zao za kila siku za kujitafutia kipato. Kamanda Misime kadhalika ametoa wito kwa wananchi wote kwa umoja wao kuendelea kushirikiana katika kukataa na kupinga vitendo vyote vya kihalifu vinavyolenga kuhatarisha maisha ya wananchi, mali zao na mali za umma na amani ya Nchi, Polisi ikimtaka kila mmoja atakayepokea ujumbe wa hamasa ya kushiriki kwenye uhalifu kutousambaza ujumbe huo na badala yake waufute na kutoa taarifa kwenye vyombo husika ili hatua zichukuliwe. Polisi kadhalika imewahakikishia wananchi wote kuwa hali ya usalama Nchini itaendelea kuwa shwari, yenye amani, utulivu na usalama kwani vitaendelea kulindwa na kudumishwa kwa ushirikiano wa karibu

“Më vdiq vajza 2 vjeç!” Pedagogu i protestave: Rini mos u ndal, shansi i fundit - Quo Vadis
▶︎

“Më vdiq vajza 2 vjeç!” Pedagogu i protestave: Rini mos u ndal, shansi i fundit - Quo Vadis

Airport Road Kidnappers Vs Edo Police: One Down & One Arrested After The Veggie Market Abduction
▶︎

Airport Road Kidnappers Vs Edo Police: One Down & One Arrested After The Veggie Market Abduction

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA
▶︎

HECHE ANAJIAMINI NINI? AJITOA TENA SADAKA MASASI, AONGEZEWE ULINZI, AIKAANGA SERIKALI YA RAIS SAMIA

MAANDAMANO JULAI 7: POLISI WAFICHUA MPANGO HATARI -KUCHOMA SHULE -KUFUNGA BARABARA na KUPORA SILAHA
▶︎

MAANDAMANO JULAI 7: POLISI WAFICHUA MPANGO HATARI -KUCHOMA SHULE -KUFUNGA BARABARA na KUPORA SILAHA

CITIZEN NIPASHE WIKENDI ~ JUNE 19, 2026
▶︎

CITIZEN NIPASHE WIKENDI ~ JUNE 19, 2026

Makubaliano ya Israel na Lebanon yanahusu nini na yatadumu? Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Makubaliano ya Israel na Lebanon yanahusu nini na yatadumu? Katika Dira ya Dunia TV

HECHE ASHINDIKANA NACHINGWEA, AONGEZEWE ULINZI, ATAKA LISSU AACHIWE HURU, ATOBOA SIRI NZITO
▶︎

HECHE ASHINDIKANA NACHINGWEA, AONGEZEWE ULINZI, ATAKA LISSU AACHIWE HURU, ATOBOA SIRI NZITO

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO
▶︎

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

MBUNGE WA ZANZIBAR AONGEA KWA UCHUNGU AWALIPUA WAZANZIBAR KUWA WABAGUZI KISA WIVU KWA WATANGANYIKA
▶︎

MBUNGE WA ZANZIBAR AONGEA KWA UCHUNGU AWALIPUA WAZANZIBAR KUWA WABAGUZI KISA WIVU KWA WATANGANYIKA

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን
▶︎

Anchor Media ''የአሜሪካው የቪዛ ማዕቀብ ትብብሩን ያፋጥነዋል'' ፕ/ር መሀመድ ሀሰን

MASATU| TUBADILISHIWE COAST TUPEWE YANGA COAST TUTAMUONEA TU|NILIJUA YANGA WANATAPATA DRAW JANA😅
▶︎

MASATU| TUBADILISHIWE COAST TUPEWE YANGA COAST TUTAMUONEA TU|NILIJUA YANGA WANATAPATA DRAW JANA😅

SECONDS! Female Pilot of U.S. C-17 Takes Off at Full Speed Amid an Emergency
▶︎

SECONDS! Female Pilot of U.S. C-17 Takes Off at Full Speed Amid an Emergency

“ወደ ትግራይ አዝምቱን”፣ የቪዛ ክልከላው አላማ በትራምፕ አማካሪ፣ የዐቢይ ደህንነት ሹሙና አዛዡ ዝግጂት፣ የጠፋው 15 ቢሊዮን | EF
▶︎

“ወደ ትግራይ አዝምቱን”፣ የቪዛ ክልከላው አላማ በትራምፕ አማካሪ፣ የዐቢይ ደህንነት ሹሙና አዛዡ ዝግጂት፣ የጠፋው 15 ቢሊዮን | EF

Grand Opening Ceremony at the Obama Presidential Center
▶︎

Grand Opening Ceremony at the Obama Presidential Center

GUMZO!! KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAWAZIRI WALIOWABAGUA WATANGANYIKA YAIBUA UTATA BUNGENI
▶︎

GUMZO!! KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAWAZIRI WALIOWABAGUA WATANGANYIKA YAIBUA UTATA BUNGENI

KELBULMAG 18/6/26 FATSHI ABENGI KABILA CHIEN?-PPRD BA FÂCHÉ-CENCO ASANGISI OPPOSITION NA POUVOIR  PO
▶︎

KELBULMAG 18/6/26 FATSHI ABENGI KABILA CHIEN?-PPRD BA FÂCHÉ-CENCO ASANGISI OPPOSITION NA POUVOIR PO

ATV Asena፡ 1ይን 2ይን ዕዮ-ገዛ ብልጽግና ንኤርትራን ትግራይን ምጥፋእ ካብ ኮነ ፡ ቀዳማይ ዕዮ-ገዛ ኤርትራን ትግራይን ከ?
▶︎

ATV Asena፡ 1ይን 2ይን ዕዮ-ገዛ ብልጽግና ንኤርትራን ትግራይን ምጥፋእ ካብ ኮነ ፡ ቀዳማይ ዕዮ-ገዛ ኤርትራን ትግራይን ከ?

በአዲስ አበባና ቢሾፍቱ “ተዘጋጁ”፣ በፓርለማው “አርሲ ዐቢይና ፍትህ”፣ የጄኔራሎቹ መመሪያና ህወሓት፣ የድሮን ጥቃቱ፣ ትራምፕ ዳግም ስለአባይ | EF
▶︎

በአዲስ አበባና ቢሾፍቱ “ተዘጋጁ”፣ በፓርለማው “አርሲ ዐቢይና ፍትህ”፣ የጄኔራሎቹ መመሪያና ህወሓት፣ የድሮን ጥቃቱ፣ ትራምፕ ዳግም ስለአባይ | EF

Schottland – Marokko  Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio
▶︎

Schottland – Marokko  Highlights | Gruppe C, FIFA WM 2026 | sportstudio

"በ72 ሰአት ወስጥ ጥቃት እንከፍታለን"ታወጀ | ከትግራይ ከመሸ ያልተጠበቀ ጉድ ተሰማ | የአብይ ወዳጅ በካይሮ ቤተመንግስት | Ethiopia
▶︎

"በ72 ሰአት ወስጥ ጥቃት እንከፍታለን"ታወጀ | ከትግራይ ከመሸ ያልተጠበቀ ጉድ ተሰማ | የአብይ ወዳጅ በካይሮ ቤተመንግስት | Ethiopia