Afande Ready ft Damas Bamba Huu Mwaka (Officiel Audio) @afandereadyofficial3430 @DamasBamba
🎬Officiel Audio Lyrics –Afande Ready ft Damas Bamba «HUUU MWAKA» 🎶🔥 Le nouveau hit de Afande Ready en collaboration avec Damas Bamba est enfin là ! Merci à toute l’équipe qui a rendu ce projet possible 🙏💥 🎤 Artist : Afande Ready ft Damas Bamba 🎧 Audio : Dan Gonga Beat Arsène Prod Dav Recoord 💿 Prod : TWT, Gentil MIHIGO, Chance Chirimwami, Jean One Chirimwami, Nelson Chiza, Guy Mubalama, Mediatrice Menemene #music #rap #newmusic #goma #lyrics #dancehall #afrobeat #love #musique #duet Paroles : Afra Damas Bamba Huu Mwaka Day Hahaha Sinager OG DBMusic Nataka nionge na shabiki zangu na mnahi. Wandugu zangu mutege sikio, musikize hii.  Kuna vitu ambavyo vimeni kutana mimi, uumuaka ni lazma ni waelize na nyinyi. Ni long time ni likuwa naro classic. Hila siyelewi mwenzenyu ya liisha vipi.  Ivi my time nimeyatumia ki stupid. Haa haa nilicho juwa. Sio madogo ila ni mengi.  Ulimi wangu Njo unabana na autaki kuongea na moyo unasema ukiongea ma shabiki wata kuchukia. Kuna vita, mimi, na bigi ambayo imetokea. Na mina juwa watu wengi waneza tamani kuyajua.  Niliacha shule juya muziki ni kamba tana na naru classic band. Wala siku jali kuwa kwenye uongozi wa Afande. Wali nifunza ukali, waka nifunza na disipline.  Hata siku fichi sometimes inanimisi naro band. Hakukwepo wandugu kama sisi. Hila wanadamu wakatuingilia katikati.  Wengi wange tamani wawe sisi.  Ijapo tuliachana kama moshi wanyasi.  Siri ya nyumbani siwezi kuyatowa inje  Tulio yapitia pamoja, nije ni waambiye wengine.  Njimbo ni uumuaka. Ni kama tunaongea vingine.  Tuhache haya, tufate mada, tu kama wengine.  Maisha ni mafupi Ni vijana jo hawajui kesho.  Hacha vya chuki, uneza lala na usiamuke kesho. Na kuna time, uneweza kujiona kama wewe ni special. Siku zikifika, suta kufa tu. Tuachie vitisho.  Tunacho gombania vitapita, sasa tuache kugumbana.  Uumuaka, mimi na njinyi atuta shindana. Mwisho wasiku isijefika tushindwe kusalimiana. Uumuaka, mimi na njini ni Peace sana.  Uumuaka, nilazma nijenge amani na watu.  Uumuaka, mimi sina uwadui na mtu.  Uumuaka, nitakipata nilicho kikosa. Uumuaka, naenda kuyasame makosa. Damas Bamba.... Refrain : Huu mwaka Lazima nita kuwa Boss, Hu Mwaka Huu Mwaka ndazi Tafuta Toch, Hu Mwaka Huu Mwaka Nita Zijaza ma poche, Hu Mwaka Niwa mibaraka siyo wa Mikoshi, Hu Mwaka Refrain : Huu mwaka Lazima nita kuwa Boss, Hu Mwaka Huu Mwaka ndazi Tafuta Toch, Hu Mwaka Huu Mwaka Nita Zijaza ma poche, Hu Mwaka Niwa mibaraka siyo wa Mikoshi, Hu Mwaka Nda Fanya Amani na Afande Ready Huhuhu Hu Mwaka Mana misijuwi anacho ki Mindi Huhuhu Hu Mwaka Mudogo Wako weuna muona Kama Bandit ? HuHuhU Hu mwaka lazma yote tuya chenji Hu MWAKA Couple 2. Ninichokiona kilinifunza zaidi ya Elimu ya chuo. Kumbe samani likipotea ya naumiza sana moyo. Kuna watu wengini ndiyo, wengini feki au siyo. Watu wana maneno yawo usi ya tege masikyo.  Nimejifunza muda ndo kitu cha maana. Kumbe muda ukiupoteza, una poteza kitu cha maana.  Muda wako uchunge njisi una ichunga mboni yako. Muda wako siugawanye boro igawanye muli wako. Kuna muda waku cheka, kuna muda waku liya. Muda wako waku cheka, usiufanye muda waku liya. Kuna vitu vitafika, vitakufanya utatulia. Kama hivyo vitu avijafika, ni muda ndo unatulia.  Ninacho kitamka ni nusu ya maumivu ambayo nayo yapitia. Ubongo na uchamsha ili nsikose cha kuongea.  Nikonatafta nyota yangu Ina Kimbiya, ijapo kwa macho na iyona, kwa mikono siwezi I Chukuwa. Kiswaili na itamka, ijapo sio luga ya kongo. Ona rap na uchamsha, ijapo mimi sio mbongo.  Of course, vitu fulani unaweza kuviona na ukaumia. Because sio kilakile unachokiona, Ndo utaongea.  Umbwa ni rafiki uki ishi naye, pia ni mnyama ukimula. Adui ni rafiki unaye ishi naye ila Siya semi kwa ujumla. Ishina watu, njo utajua, ni nyama lipi, likali kwenye jingo. Mina mengi ya kusema ilasiwezi kuyataya kwa uhu wimbo. Best Raper aumwaka njowangu Wakati Nda Fanya tuh japo Hani sapoti mwenye kiti Uumuaka, nilazma nijenge amani na watu.  Uumuaka, mimi sina uwadui na mtu.  Uumuaka, nitakipata nilicho kikosa. Uumuaka, naenda kuyasame makosa. Damas Bamba.... Refrain : Huu mwaka Lazima nita kuwa Boss, Hu Mwaka Huu Mwaka ndazi Tafuta Toch, Hu Mwaka Huu Mwaka Nita Zijaza ma poche, Hu Mwaka Niwa mibaraka siyo wa Mikoshi, Hu Mwaka Refrain : Huu mwaka Lazima nita kuwa Boss, Hu Mwaka Huu Mwaka ndazi Tafuta Toch, Hu Mwaka Huu Mwaka Nita Zijaza ma poche, Hu Mwaka Niwa mibaraka siyo wa Mikoshi, Hu Mwaka

Huu Mwaka by @afandereadyofficial3430 ft @DamasBamba (Visualiser)

Huu mwaka by Afande Ready version Gaspa Gangster (officiel vidéo)

Asante Bwana

HAWANA WEMA BY AFANDE READY FT DJOVA SNACK

@DamasBamba - Dieu de Yuma ft @bargoss_irbajo (Official Music Video)

Huu mwaka by Afande ready

Best Of LUCKY DUBE Non Stop Video 2026 - Top 20 Best Reggae Songs Of Lucky Dube 2026

Carlos Beau Goss ft Afande Ready - NIKO NA JIULIZA (Official Music Video) & Baraka-J

BEST OF AKON SONGS _ GREATEST EVER HITS _ American vibes

Zonart freestyle DM BLACK-Blackman,Pac,Damas,Zola,lameck,Mury,Yosh,dogo,Lyon,couleur,Balca,achillian

MAISHA ; AFANDE READY Feat DJOVA SNACK

HUU MWAKA BY Afande polis & X Afande ready (oficial audio)

@bargoss_irbajo @JOELIKEofficial @SugarIgaUfe1 @GloriaBash @AspinoBoy - Mashup by Dinno

Nyumba Ya Milele - 20 Percent ft EBL Ebl DRuCuLa (Official Video)

Marafiki by Afande Ready ( Óffìćįèl video)

Winner Freestyle

Stamina feat Afande ready live freestyle bukavu endirec stade de la concorde de kadutu.

Sapologuano Ft Afande Ready - Stay (Official Music Video)

