MKUU WA SHAMBALAI SECONDARY SCHOOL AMESEMA WALIMU WAMEWAANDAA VIZURI WANAFUNZI WA KIDA TO CHA NNE

kaimu mkuu wa shambalai secondary school bwana mbilu mndolwa amesema walimu wamewaandaa vizuri wanafunzi wa kida to cha nne wanao wanaotarajia kufanya mitihani yao ya taifa tarehe,14 novembar 2022. hata hivo wanafunzi nao wamekiri kupata maandalizi mazuri tena ya viwango vikubwa kutoka kwa walimu wao kama walivo jieleza.. #lushoto #tanga #tanzania #lushotoplus