WANAFUNZI 400 WAHITIMU CHUO CHA WAGANGA WA JADI, MBUNGE AFUNGUKA “HAKUNA MILA POTOFU NI UONGO”
Mbunge wa Jimbo la Kahama Jumanne Kishimba amesema sasa ni wakati sahihi kwa serikali kuweka somo linalofundisha Mila na Desturi za kitanzania mashuleni ili Watoto wajue na kufahamu mambo yanayohusu jamii yao. Akisisitiza kuhusu jambo hilo Kishimba amesema kumekuwa na tamaduni za kigeni ambazo Watoto wamekuwa wakikuwa na kuzikuta ambazo zinapelekea kuharibu makuzi ya Watoto hasa wanaokulia mjini na kuwafanya kuamini mambo ambayo sio ya kwao na kupelekea kuwepo kwa wagonjwa wa Afya ya Akili kutokana na msongo wa mawazo Kishimba amesema hayo katika mahafari ya kwanza Tanzania ya chuo cha waganga wa Jadi cha Modesta kilichopo Kagongwa wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga ambapo wanafunzi Zaidi ya 400 wamehitimu mafunzo ya dawa asili ya Modesta baada ya kusoma kwa mwaka mmoja na watu Zaidi ya 1000 wamehudhuria mahafari hayo “Mjini wanaugua ugonjwa wa msongo wa mawazo mbona kijijini hawaugui huo msongo wa mawazo kwanini tusiende kwao kuwauliza lazima na sisi watu wa Mila tujitetee kwasababu Maisha yetu ni mazuri Zaidi ila tunashambuliwa mno kuwa ni mila Potofu, hapa hakuna mila potofu ni uongo kama ingekuwa ni mila potofu Ng’ombe angelala nje sisi tunalala ndani mbona sisi wa mjini wajuaji na tunamageti na ndani hakuna chakula” mbunge Kishimba

🔴#LIVE: VIGOGO WA NCHI WAKUTANA KUJADILI MWELEKEO NA HATMA YA TAIFA LA TANZANIA

MBUNGE MUSUKUMA AKIELEZA MAGUMU ALIYOPITIA KATIKA SIASA NA BIASHARA | M&S PODCAST

Walimu waliokuwa na sifa za utoro wawafundishe wanafunzi watoro

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

EXCLUSIVE: JAMES MBOWE AIVAA CHADEMA "WAMEACHA SIASA WANAFANYA HARAKATI"

If You Can't Control Your Tears, Don't Watch This (MERCY JOHNSON) Sad Painful Emotional Family Movie

Dakika 59 Kishimba akimwaga Nondo akizungumza na wanafunzi wa mwaka wa tatu UDOM

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Inkotanyi ntitwashidikanyaga ko tuzatsinda urugamba - Lt. Gen (Rtd) Karenzi Karake

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka

CHADEMA YATAKA UCHUNGUZI WA KINA KUBAINI CHANZO HALISI KIFO CHA DEREVA WA HECHE

🔴#BREAKING: WAZIRI wa MAMBO ya NDANI PATROBAS KATAMBI ATOA TAMKO ZITO KUHUSU MAANDAMANO JULAI 7...

Isi yose yateraniye ku Rwanda|| Perezida Kagame yeretse abayobozi igisubizo gikwiye abatuka igihugu

WAMEANDAA WAUAJI 77 TUMEANZA KUWAKAMATA WENGINE, MTANDAO TUMEUJUA,WAZIRI Mwigulu aibua MAPYA MAZITO

VITUKO VYA MBUNGE KISHIMBA MBELE YA JPM "WATOTO WAENDE SHULE NA KIPORO"

VIDEO ITUNGURANYE REBA GEN WA NYATURA AYIVUYEMO ATERERA ISARI GUVERINERI MUHETO AZABYE ABASIRIKARE

WARIOBA afunguka MAZITO TUME ya JAJI CHANDE! ATAJA CHADEMA NA CCM, AONGEA YOTE HADHARANI”

Press Statement by Ousmane SONKO, Pastef - The Patriots

MBUNGE KISHIMBA ASIMULIA KISA KIZITO ALICHOKUTANANACHO ISRAEL “NILIAMBIWA WEWE MPUMBAVU”

