CCM GEITA YAHITIMISHA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KATA YA BWONGERA WILAYANI CHATO
Kampeni Na Paschal Musa Chato – Geita 31.05.2026 Chama cha mapinduzi mkoani Geita Kimehitimisha kampeni za Uchaguzi mdogo katika kata ya Bwongera wilayani Chato huku kikiahidi kuendelea kutatua changamoto za wavuvi na watu kushamuliwa na mamba pamoja na viboko katika ziwa vicoria. Tupate taarifa zaidi kutoka kwa mwandishi wetu Paschal Musa Akizungumza katika kampeni hizo mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoani Geita Nicholaus Kasendamila amesema chama hicho kimejipambanua kuwasaidia wananchi kwa kufikisha huduma za jamii katika maeneo yao SB:Nicholaus Kasendamila – Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoa wa Geita Kwa Upande wake Mgombea udiwani katika kata ya Bwongera kupitia chama cha mapinduzi Leonard Lunyilija amepata fursa ya amewaomba wananchi huku katibu wa mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Geita Endrew Mnunke akiwasisitiza wananchi kujitokeza upiga kura na kumchagua diwani anaetokana na chama hicho. Voxpop: Donard –Lunyilija – Mgombea Udiwani Kata ya Bwongera 2.Endrew Mnunke – Katibu mwenezi mkoa wa Geita Uchaguzi mdogowa udiwani kata ya Bwongera unatajiwa kufanyika juni mos mwaka huu huku vyama sita vya siasa vikitarajia kushiriki kinyang’anyiro hicho.

MSAFARA WA MAGUFULI, Tazama ALIVYOWASILI kwenye MKUTANO CHATO Mkoani GEITA....

LUTANDULA AELEZA UTEKEZAJI WA ILANI YA CCM

YOU CANT LIE TO KENYANS! WHY'RE YOU TAXING MITUMBA? Ndindi Nyoro confronts Finance Chair MP Kuria

DAWA YA RUTO!! Listen to Gachagua Powerful remarks today in Bungoma Church destroying Kasongo badly!

MAGUFULI Atikisa CHATO, MAFURIKO ya AJABU, MAELFU ya WATU Wajitokeza KUMPOKEA!

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA ZA KUTOSHA BUNGENI BAADA YA KUPINGA VIKALI TABIA ZA KISHOGA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

MAMA ALIYESOMA NA HAYATI MAGUFULI ASIMULIA KWA UCHUNGU - "ALINIAMBIA TWENDE KWENYE SIASA"

CCM WAMTUMBUA DIWANI CHATO - ''HASTAHILI KUWA MWANACHAMA - UTAFANYIKA UCHAGUZI MDOGO''...

KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KATA YA BWONGERA WILAYANI CHATO MKOANI GEITA.

MAGUFULI Apiga SALUTI, SHOO KONKI ya TMK WANAUME FAMILY, Full MAPANGA, CHATO Yasimama...

BMG TV: Chato wamgomea Lissu kwenda kwenye kaburi la Magufuli

WANANCHI TENGERUKA WAISHUKURU SERIKALI KWA UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATARYO.

JUMUIYA YA WAZAZI TAIFA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

SIFUNA WATCHING! What Are They Planning? Babu Owino & Orengo Meeting With Matiang'i Leaks! | Makwiny

Ruto heart attack as Sifuna and his troop holds Mega Rally in Thika with 'Sisi Ndio Sifuna!'

CCM REMOVES CHATO COUNCIL CHAIRMAN AS MEMBER

CHALAMILA AZUNGUMZIA MRUNDIKANO wa BAR na KELELE DAR - ATOA MAELEKEZO MAZITO KWA MIPANGO MIJI...

Ruto STATEHOUSE Guards FORCED to CLASH with OBURU Bodyguards as WIFE Rachael SHOCKED Karen BREAKING

