Katibu Mkuu ALAT apigwa butwaa utekelezaji wa miradi Buchosa
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Elirehema Kaaya amepigwa butwaa kwa jinsi Watendaji katika Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema walivyomuelewa vyema Rais Dkt. John Magufuli na kutekeleza vyema miradi ya maendeleo. Ni baada ya kufanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika Halmashauri hiyo ikiwemo ujenzi wa majengo 11 katika Hospitali mpya ya Wilaya, jengo la Ofisi za Halmashauri, vyumba vitatu vya madarasa pamoja na maktaba katika Shule ya Sekondari Nyehunge. #BMGHabari

▶︎
Waziri Mkuu kachukizwa na tatizo la maji Buchosa, kaagiza yafuatayo.

▶︎
Wizi watikisa halmashauri ya Buchosa

▶︎
TAZAMA KILICHOTOKEA HALMASHAURI YA BUCHOSA

▶︎
🔴Utumishi Girls Fire Victims' Requiem Service At Gilgil Stadium || 12.06.26

▶︎
Tazama wagombea wa ubunge jimbo la Buchosa kwa Tizeba

▶︎
MBUNGE SHIGONGO ATOA MAGODORO 70 kwa WANAFUNZI wa NYEHUNGE SEKONDARI..

▶︎
Abiria wanabebwa mgongoni kupanda na kushuka kwenye feri

▶︎
HADI RAHA! SHIGONGO Alivyomtambulisha MKE WAKE kwa WANANCHI wa BUCHOSA...

▶︎
Buchosa ni Darasa, Halmashauri zingine mje Mjifunze hapa- Waziri Jafo

▶︎
DARAJA la KIBABE LINALOUNGANISHA BUCHOSA na GEITA LIMEKAMILIKA....

▶︎
"JIMBONI KWANGU BUCHOSA NIMECHONGA BARABARA MWENYEWE" - MBUNGE SHIGONGO....

▶︎
NYEHUNGE, GEITA: Rais Magufuli aamuru barabara ya lami ijengwe

▶︎
KAZI KAZI! WANANCHI WASHINDWA KUJIZUIA, MRADI MKUBWA BUCHOSA, WAMPA MAUA RAIS SAMIA, MBUNGE SHIGONGO

▶︎
HIVI NDIVYO MBUNGE WA BUCHOSA ALIVYOSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WAKE

▶︎
MBUNGE SHIGONGO AWABANANISHA WAKANDARASI wa BUCHOSA - "BARABARA Chini ya KIWANGO"...

▶︎
BMG TV: Cheki balaa la Mwenge wa Uhuru 2023 Buchosa, Sengerema

▶︎
Bandari Mpya ya Buchosa yamaliza matatizo ya usalama na kiuchumi kwa wana kijiji hao

▶︎
#EXCLUSIVE: MTOTO Aliyevunja REKODI BUCHOSA Asimulia MAZITO - "Ni MALAIKA wa MUNGU"

▶︎
Barabara ya kwanza ya lami kujengwa Buchosa, Bilioni 15 kumaliza tatizo la maji

▶︎
