CHADEMA KUFANYA OPARESHENI FREE TUNDU LISSU KUZUNGUKA MIKOANI - MWENEZI BRENDA RUPIA ATANGAZA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza ziara iliyopewa jina la Free Tundu Lissu na Katiba Mpya Phase itakayoanzia katika Ukanda wa Kusini kuanzia Juni 18, 2026. Akizungumza leo Juni 15, 2026 mbele ya Waandishi wa Habari, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA, Brenda Rupia amesema ziara hizo zitaanza Ukanda wa Kusini. “Tunapenda kuwatangazia Watanzania wote kwamba chama hiki kinaenda kwenye ziara ambayo itakuwa ni Free Tundu Lissu, Katiba Mpya Phase Two ambayo tumeamua kuanzia Kanda ya Kusini kuanzia Juni 18, 2026 ambapo tutaanzia mkutano wa hadhara Nachingwea, kisha Masasi Juni 19 na Songea Mjini ni Juni 20, 2026 ambapo tutafanya hitimisho,” amesema Rupia. #MillardAyoUPDATES

▶︎
HECHE AMEKIWASHA UPYA AFICHUA KESI YAO AMJIBU KENANI BILA UOGA, HATUWEKWI MFUKONI SISI

▶︎
MAMA ALIYEZUIA KIJANA KELVIN ARUSHA ASIUAWE AKABIDHIWA MILIONI TATU NA NUSU, KANISA KUJENGWA SIKU 3

▶︎
MAMA ALIYEMUOKOA KELVIN ASIUAWE ACHUKIZWA, AMTAKA MAMA YAKE AONGEE UKWELI " HUWEZI KUSEMA HAPANA"

▶︎
HIKI NDICHO KITAKACHOTOKEA KWENYE MWILI WAKO UKICHANGANYA MAZIWA NA POMBE

▶︎
MBUNGE SHABIBY ATOBOA SIRI ZOTE BUNGENI''SIO KILA KITU RAIS SAMIA ASIMAMIE,RAIS AWE WA MWISHO''

▶︎
LIVE :CHADEMA WANAFUNGUKA MAZITO MUDA HUU

▶︎
Chalamila Atoa Onyo Juu ya Maandamano, Kulinda Amani: 'Kafanyeni Kazi Kubwa ya Kumkabili Adui'

▶︎
HECHE USO KWA USO NA MCHUNGAJI MSIGWA IRINGA, ANENA TUMEPITIA MISUKOSUKO SABABU YA HAKI

▶︎
WANAFUNZI WAWILI WALIOFARIKI BAADA YA CHUMBA CHAO KUCHOMWA MOTO, MWENYEKITI WA MTAA ASIMULIA

▶︎
RC CHALAMILA - "KAMA HUNA HELA USIJE MASAKI - RC UKITAKA KUJIFANANISHA na RAIS ni KUTOJITAMBUA''...

▶︎
DRAMA In Parliament As Ndindi Nyoro Badly Clashes With Kimani Ichung'wah Over National Debt!

▶︎
DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 15.06.2026 | Mchana | Swahili Habari leo | Podcast

▶︎
Will Israel Blow Up Trump's Deal? Jeremy Scahill on Iran Talks, Strait of Hormuz, Nukes & More

▶︎
MBUNGE SHABIBY AKOSOA LESENI KWA BODABODA “TSH 183,000 NI WIZI WA KIJINGA!”

▶︎
KIONGOZI ALIYESEMA SATO, KAMBARE WANINI AFUNGUKA ZNZ HAIHITAJI SATO, SOKONI HAWAPO VIJANA WAWEZESHWE

▶︎
Russia bombards Kyiv, sets fire to famed cathedral

▶︎
DKT. TULIA AANZA RASMI UJENZI WA NYUMBA YA BI. QEEN MTAA WA TONYA JIMBO LA UYOLE.

▶︎
KATAMBI AONYA VIKALI BIASHARA YA MADANGURO NA USHOGA “HATUTAVUMILIA VITENDO VINAVYOKIUKA MAADILI”

▶︎
Exclusive- Tazama Genius Elieza alivyofanya mahesabu baada ya miaka 20 kupita, hii ni noma.

▶︎
