Othman Masoud: Tunataka katiba mpya, nchi iendeshwe kistaarabu, sio rais anaamua kila kitu
Zaidi ya miezi sita imepita tangu Uchaguzi Mkuu ufanyike Zanzibar, huku upinzani ukiwa bado haujajiunga na Serikali kama ambavyo Katiba ya visiwani humo inavyoelekeza. Wakati chama cha ACT Wazalendo ambacho ndicho chenye sifa ya kuunda serikali na chama tawala cha CCM - kinasisitiza kwamba wanataka madai yao kutimizwa kwanza kabla hawajaingia serikalini, CCM inasema haitaburuzwa na kwamba watatanguliza maslahi ya chama chao katika majadiliano yanayoendelea hivi sasa. ACT Wazalendo hawajaweka wazi madai yao ni yapi hasa. Mwandishi wa BBC Sammy Awami amezungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu wa Visiwani humo Othman masoud Othman 🎥: Frank Mavura #bbcswahili #tanzania #ACTWazalendo Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

LIVE : CHADEMA WATUA KWA KISHINDO KILWA, HECHE,MNYIKA,SUGU,LEMA WANAUWASHA MOTO MUDA HUU..

BABA LEVO AWASHUKIA WANAOKULA NAULI ZA WANAUME "HAYA MAMBO YANALETA HASIRA KWA WANAUME"

A - Z Luhaga Mpina Akizungumza na Vyombo vya Habari Kuhusu Ya Oktoba 29 na Ubadhirifu wa Rasilimali

Adam Mchomvu Afunguka Kuhusu Media, Music, Urafiki na Vita ya Maisha nyuma ya Camera.

LIVE: TUNAZIHESABU KANUNI 10 ZA UZALENDO NA ZITTO KABWE | AMSHA CREW | 28.05.2026.

BALAA LA MHe, Jaku ATAJA MADANGURO YA KUJIUZA YALIPO YOTE

'Nilitangaza Maalim Seif Ameshinda Urais Zanzibar, Tukapata Matatizo': Huyu Ni Pascal Mayala PART II

USO kwa USO! RAIS SAMIA ALIVYOKUTANA na RAIS PUTIN wa URUSI - APOKEWA kwa HESHIMA ZOTE

LIVE: CCM YATIKISIKA, SIRI NZITO ZAANZA KUFICHUKA? LISSU MAHAKAMANI PEKE YAKE!

Tundu Lissu: "Hakuna tena kuimbiana mambo ya maridhiano yasiyokuwepo"

Dr Slaa Afunguka Kuhusu Maseneta wa Marekani na Tanzania

SAKATA LA MAREKANI KUIWEKEA VIKWAZO TANZANIA, ATHARI ZAKE NI ZIPI? | UCHAMBUZI

#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

WAZIR KITWANA Alivyomjibu MHe, SIMAI ATUMIA DAKIKA 8 KUMUELEWESHA

EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI

PART 2: PROF ASSAD ATOKWA NA MACHOZI MBELE YA KIKEKE, NILITISHIWA, AFUNGUKA MAZITO MNO

Mwanzo-Mwisho Wabunge CCM Wachachamaa Marekani Kutaka Kuwaekea Vikwazo Viongozi wa Serikali Tanzania

SENEGAL:IBIHANGA BIBIRI BYANANIWE GUKWIRA MU NKONO IMWE? SONKO MU MAZI ABIRA?

