NTU WA DILI AINGIA HOFU UJENZI WA BANDARI, WAZIRI WA MIFIGO NA UVUVI MH.MASHIMBAKI NDAKI(MB) AMJIBU

Mwananchi Suleimani Mohammed, kwa jina maarufu la utani (Ntu wa Dili) kutoka wilaya ya Kilwa mkoani Lindi akiuliza maswali kwa Mh,Mashimba Ndaki waziri wa wizara ya mifugo na uvuvi,juu ya ujenzi wa bandari ya uvuvi katika kata yao ya Masoko wilayani humo.    • NTU WA DILI AINGIA HOFU UJENZI WA BANDARI,...