MAOMBI YA MUNGU KUHUKUMU KWA HAKI KINYUME NA KUONEWA KWENYE MAENEO YOTE.

“Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wivi na uovu; nami nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana nao agano la milele.” ‭‭ISA.‬ ‭61:8‬ ‭SUV‬‬