Wananchi wa Ngorongoro Watoa Tamko Kupinga Walichodai Kuondolewa Kwenye Daftari la Mpiga Kura

Wananchi wa tarafa ya Ngorongoro wakiongozwa na Diwani wa Kata ya Oloitole, James Moringe wamedai kuwa wakazi takribani 110,000 waliosalia kwenye tarafa hiyo hawataweza kupiga kura kwa sababu majina yao hayapo kwenye vituo vyao. Katika taarifa yake Moringe amesema kuwa majina ya wananchi hao yamehamishiwa Msomera Mkoani Tanga, eneo ambalo Serikali ilitenga kwa ajili ya kuwahamishia wakazi wa eneo hilo, jambo ambalo limekuwa likizua utata kati ya Serikali na jamii ya Wamasai na wanaharakati wa haki za Binadamu. Zoezi la uboreshaji daftari la mpiga kura linatarajia kukamilishwa nchi nzima kabla ya uchaguzi mkuu mwakani 2025. The Chanzo inaendelea kufuatilia madai haya Tume ya Uchaguzi kwa ajili ya ufafanuzi. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

MVUTANO MKALI BUNGENI ISHU YA HIFADHI YA NGORONGORO
▶︎

MVUTANO MKALI BUNGENI ISHU YA HIFADHI YA NGORONGORO

UKWELI KUHUSU HIFADHI YA NGORONGORO,HALI NI MBAYA, ONGEZEKO LA WATU, MIFUGO LATISHIA UHAI WA HIFADHI
▶︎

UKWELI KUHUSU HIFADHI YA NGORONGORO,HALI NI MBAYA, ONGEZEKO LA WATU, MIFUGO LATISHIA UHAI WA HIFADHI

Kiingereza cha mzee huyu wa kimasai ni noma, sikiliza akiielezea Ngorongoro
▶︎

Kiingereza cha mzee huyu wa kimasai ni noma, sikiliza akiielezea Ngorongoro

VIJANA NGORONGORO WATAMKA MAZITO TUME YA UCHAGUZI "DAFTARI LA MPIGA KURA HALIPO", WAMUOMBA RAIS A...
▶︎

VIJANA NGORONGORO WATAMKA MAZITO TUME YA UCHAGUZI "DAFTARI LA MPIGA KURA HALIPO", WAMUOMBA RAIS A...

Katambi Ajitetea na Agizo Lake la Kuzuia Mikutano : 'Sijakiuka Katiba'  Awashukia Vikali CHADEMA
▶︎

Katambi Ajitetea na Agizo Lake la Kuzuia Mikutano : 'Sijakiuka Katiba' Awashukia Vikali CHADEMA

Wanasheria Wajitosa Sakata la Ngorongoro, Mwabukusi Aelezea Hatua Zinazofuata.
▶︎

Wanasheria Wajitosa Sakata la Ngorongoro, Mwabukusi Aelezea Hatua Zinazofuata.

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO
▶︎

🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'
▶︎

Waziri Mkuu—Kufungia Mikutano Sio Ugomvi na Vyama vya Siasa: 'Tunataka Tushughulike na Wahalifu'

🔴#Live: TAARIFA MPYA SAKATA la NGORONGORO - MSEMAJI MKUU wa SERIKALI MATINYI AMTAJA MBUNGE ALIYEHAMA
▶︎

🔴#Live: TAARIFA MPYA SAKATA la NGORONGORO - MSEMAJI MKUU wa SERIKALI MATINYI AMTAJA MBUNGE ALIYEHAMA

OLE SENDEKA AFUNGUKA SAKATA LA LOLIONDO NA NGORONGORO / "MILA ZETU HAZIRUHUSU KUBISHANA NA MWANAMKE"
▶︎

OLE SENDEKA AFUNGUKA SAKATA LA LOLIONDO NA NGORONGORO / "MILA ZETU HAZIRUHUSU KUBISHANA NA MWANAMKE"

MBUNGE NGORONGORO PM  "KAMA ZOEZI LA KUHAMA NGORONGORO NI HIARI KWANINI MNAWEKA VIKWAZO "
▶︎

MBUNGE NGORONGORO PM "KAMA ZOEZI LA KUHAMA NGORONGORO NI HIARI KWANINI MNAWEKA VIKWAZO "

HII HAPA HOTUBA YA KIBABE YA TUNDU LISSU HUKO NGORONGORO, AIZIKA CCM MAZIMA BILA HURUMA
▶︎

HII HAPA HOTUBA YA KIBABE YA TUNDU LISSU HUKO NGORONGORO, AIZIKA CCM MAZIMA BILA HURUMA

#LIVE: NGORONGORO YAITIKA, LISSU ANAKIWASHA MUDA HUU BILA HOFU WALA WOGA
▶︎

#LIVE: NGORONGORO YAITIKA, LISSU ANAKIWASHA MUDA HUU BILA HOFU WALA WOGA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7
▶︎

MARIASPACES : MAPYA MKE WA LISSU KULIA BUNGE LA EU,TAMKO LA ICC,KAULI YA CHALAMILA MAANDAMANO7/7

KANISA KATOLIKI LAGOMA KUTOKA NGORONGORO, LOLIONDO "HATUTOKI KAMA WATU BADO WAPO"DKT KITIMA AFUNGUKA
▶︎

KANISA KATOLIKI LAGOMA KUTOKA NGORONGORO, LOLIONDO "HATUTOKI KAMA WATU BADO WAPO"DKT KITIMA AFUNGUKA

🔴#HakiTvLive : Oleshangay Afunguka  hali Ikoje Ngorongoro, aanika ukweli hujuma kwa wa maasai
▶︎

🔴#HakiTvLive : Oleshangay Afunguka hali Ikoje Ngorongoro, aanika ukweli hujuma kwa wa maasai

MASKINI MBUNGE WA NGORONGORO ASHINDWA KUVUMILIA ALIA MACHOZI MBELE YA WANANCHI WAKE
▶︎

MASKINI MBUNGE WA NGORONGORO ASHINDWA KUVUMILIA ALIA MACHOZI MBELE YA WANANCHI WAKE

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?
▶︎

UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?