Bitchuka afunguka jinsi alivyojiunga na NUTA JAZZ kwa mara ya kwanza na pia wimbo wake wa kwanza ku

MUZIKI NA WANAMUZIKI, "GUGO WA MUZIKI" Adam Zuberi hapa anaongea na mwanamuziki Mkongwe na Mahiri kabisa nchini Tanzania Legendary na kipenzi cha wengi Hassan Rehani Bitchuka. Bitchuka a.k.a "Stereo" anatuelezea jinsi ilivyokuwa kwa yeye kuweza kujiunga na Bendi ta Msondo Ngoma ambayo wakati huo ilikuwa ikijulikana kama JUWATA JAZZ BAND. Hapa tumepata bahati ya kusikia namna Juwata Jazz walivyomuona Bitchuka kwa mara ya kwanza, mazungumzo yalikuwaje. Wimbo wake wa kwanza aliojaribiwa nao ni upi na ni wimbo gani wa kwanza alioutunga yeye mwenyewe katika bendi ya JUWATA JAZZ BAND. Ni matumaini ya channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZI kuwa utaburudika vya kutosha pamoja na kuelimika vilivyo katika video hii. Kama utakuwa na swali, maoni, ushauri au hata ukosoaji, jisikie huru kutoa maoni yako ilimradi tu yasiwe ya matusi. Nasi tutajibu kadri tukavyoweza pale inapohitajika kujibu. Ili usipitwe na habari yoyote ile itakayotundikwa kwenye channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZIKI, tafadhali click link ifuatayo ili uweze kuwa wa kwanza kujulishwa kuhusu habari mpya MUZIKI NA WANAMUZIKI:    / @muzikinawanamuziki   Kwa habari zaidi za muziki wa Dansi: Fresh Jumbe YouTube    / freshjmw   Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook   / akida.mtwana   Website https://freshjumbe.com/