Bitchuka afunguka jinsi alivyojiunga na NUTA JAZZ kwa mara ya kwanza na pia wimbo wake wa kwanza ku
MUZIKI NA WANAMUZIKI, "GUGO WA MUZIKI" Adam Zuberi hapa anaongea na mwanamuziki Mkongwe na Mahiri kabisa nchini Tanzania Legendary na kipenzi cha wengi Hassan Rehani Bitchuka. Bitchuka a.k.a "Stereo" anatuelezea jinsi ilivyokuwa kwa yeye kuweza kujiunga na Bendi ta Msondo Ngoma ambayo wakati huo ilikuwa ikijulikana kama JUWATA JAZZ BAND. Hapa tumepata bahati ya kusikia namna Juwata Jazz walivyomuona Bitchuka kwa mara ya kwanza, mazungumzo yalikuwaje. Wimbo wake wa kwanza aliojaribiwa nao ni upi na ni wimbo gani wa kwanza alioutunga yeye mwenyewe katika bendi ya JUWATA JAZZ BAND. Ni matumaini ya channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZI kuwa utaburudika vya kutosha pamoja na kuelimika vilivyo katika video hii. Kama utakuwa na swali, maoni, ushauri au hata ukosoaji, jisikie huru kutoa maoni yako ilimradi tu yasiwe ya matusi. Nasi tutajibu kadri tukavyoweza pale inapohitajika kujibu. Ili usipitwe na habari yoyote ile itakayotundikwa kwenye channel hii ya MUZIKI NA WANAMUZIKI, tafadhali click link ifuatayo ili uweze kuwa wa kwanza kujulishwa kuhusu habari mpya MUZIKI NA WANAMUZIKI: / @muzikinawanamuziki Kwa habari zaidi za muziki wa Dansi: Fresh Jumbe YouTube / freshjmw Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook / akida.mtwana Website https://freshjumbe.com/

Bitchuka asema: Kuna kuimba, na kuzomea. Awasifia Shaban Dede na Muumin. Asema muimbaji ni lazima...

Gwiji la kupuliza Tarumbeta Super Volcano na bendi za Wanyika Saidi Makelele - Part - 1

Orchestrée bic rouge spectacle

Mbaraka Mwinshehe - Pesa No 1 (AEML4)

Smooth Chicago Blues for Quiet Nights | Riverfront Soul in Cold Air

Ottu Jazz Band Tuma Official Video (MOA)

Juma Ubao "King Makusa" - Kipini cha dhahabu na mpunga wa kisele...

FRANCO LUAMBO RHUMBA VIDEO MIX 2 - DJ ROYAL D

Mbaraka Mwinshehe - Mtaa Wa Saba (AEML4)

Sweet Reggae Romance Songs 2026 🌴 Sunset Chill Vibes | Sunset Love and Reggae Vibes.

Marashi ya Pemba - OSS Ndala Kasheba

Sikinde tulitumia gitaa la Kombora asema Julius Mzeru - Halafu ile bendi ilikuwa kama jeshi maana...

Franco Luambo et le TPOK Jazz| 273 Minutes of Absolute Rare Gems!

AFRICAN RHUMBA VOL 1 | MADILU SYSTEM NON STOP MIX 2023 | DJ CJ Kenya #madilusystem #rhumba

Blue Suit Blues – Midnight Chicago Blues & Smooth Jazz for Late Night Whiskey Mood

Juma Ubao - King Makusa: Tumeshasema sana, lakini ni kama tunampigia Mbuzi gitaa - Muziki siku hi...

RHUMBA YA BOLINGO | Classic African Rhumba Mix

Mlimani Park on stage

Dunia Imani Imekwisha Marijan Rajabu

