Polisi watapakaa mitaani Mwanza wafanyabiashara wakiendeleza mgomo
Wakati mgomo wa wafanyabiashara jijini Mwanza ukiingia siku ya pili, maofisa wa Jeshi la Polisi wanaotembea na waliopo kwenye magari wameonekana wakipita katika mitaa mbalimbali ya jijini hilo, huku maduka yakiwa hayajafunguliwa. Kamera ya Mwananchi Digital iliyoko mtaani kuanzia saa 12:30 hadi saa 3:00 asubuhi ya leo Jumatano Juni 26, 2024, imeshuhudia magari yaliyojaa askari wa Jeshi la Polisi yakikatiza, huku baadhi ya askari polisi wakitembea kwa miguu kuzunguka mitaa ya jiji hilo. Alipoulizwa kuhusu askari hao, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amethibitisha kuwasambaza askari katika mitaa ya jiji hilo, huku akidokeza kuwa jukumu lao ni kuimarisha ulinzi kwa wafanyabiashara watakaofungua maduka, ili wasifanyiwe fujo na waliogoma. Kamanda Mutafungwa amesema ulinzi na doria hizo zitakuwa endelevu hadi hali itakaporejea katika utimamu, huku akionya watakaojaribu kuwafanyia vurugu wafanyabiashara walioridhia kufungua maduka yao. (Imeandikwa na Mgongo Kaitira). #mwananchiupdates #tunaliwezeshataifa

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

WATU WASIOJULIKANA WASHAMBULIA GARI ILIYOBEBA WATALII ARUSHA, MWENYEKITI CHAMBULO AONGEA

TRUMP ATOA AHADI KWA DUNIA LEO HAIISHI ‘’MTAJUA NITAENDA KUIFANYA NINI IRAN’’ HAPA TUMEFIKA PABAYA

WALIOMUUA MCHINA WAPIGWA PINGU NA JESHI LA POLISI DAR

MGOMO KARIAKOO! "NITAKUJA KUMPA ADABU MBELE YENU" RC CHALAMILA AFOKA KWA UKALI WANAOTISHIA MGOMO

Kamanda Mwanza "Tumerushiana risasi na tumemkamata Handsome Boy jambazi wa magari"

LIVE: VILIO, MWANZA YAFURIKA KUUPOKEA MWILI WA MAGUFULI, JESHI LASINDIKIZA, HELKOPTA ANGANI

MGOMO wa WAFANYABIASHARA WATIKISA MWANZA - MIKOA JIRANI WAPIGWA na BUTWAA........

MGOMO WA WAFANYABIASHARA ARUSHA, MADUKA YAFUNGWA - "MGOMO NDIO SULUHISHO, TUNAFIKISHA UJUMBE"

MGOMO wa KARIAKOO, WAFANYABIASHARA WAFUNGUKA "KODI IMEKUWA KUBWA SANA, BIDHAA ZIMEPANDA BEI"

🔴#Live: WAZIRI MKUU AZUNGUMZA na WAFANYABIASHARA wa KARIAKOO, WATEMA CHECHE, WAPASUA JIPU LIVE!

Usichokijuwa kuhusu jamii ya Wapemba wa Kenya | GUMZO MAALUM

Serikali ya Tanzania yafikia makubaliano na wafanyabiashara.

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

WAZIRI MWIGULU Aweka WAZI Chanzo cha WAFANYABIASHARA Kugoma/ HATUWEZI Kushusha VAT Kama Wanavyotaka

WAFANYABIASHARA SOKO LA KATORO GEITA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA

MGOMO WA WAFANYABIASHARA MBEYA, MADUKA YAFUNGWA, WENYEWE WAELEZA "SERIKALI HAITAKI KUTUSIKILIZA"

Wananchi Vijibweni waibua kero za barabara, shule na migogoro ya ardhi mbele ya Chalamila

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

