SHULE YA JITEGEMEE YAJA KIVINGINE/WAZAZI WAKARIBISHWA KUJIONEA MAPINDUZI MAPYA.
Shule inawatangazia 1. Nafasi za Kidato cha kwanza 2026 2. Nafasi za Kidato cha Tano 2025/2026 3. Nafasi ya kuhamia kidato cha pili, Tatu na Tano 4. Nafasi ya kurudia Mitihani ya kidato cha Nne na Masomo ya QT Miaka 2 na Form V na VI mwaka mmoja. NB: Shule ni ya kutwa na Bweni na Ada zetu ni Nafuu sana. Tupo Mgulani JKT Wilaya ya Temeke, Dar es salaam. Mawasiliano, Tupigie 0784 275 669 0749 401 112
