Boni Yai Alifunga Duka la G55, Aeleza Walivyoanza, Awaonya Wanaharibu Heshima ya Mbowe

Akizungumza kwenye kikao na viongozi wa CHADEMA Pwani leo Mei 18, 2025, aliyekuwa msimamizi wa kampeni za Mbowe kwenye uchaguzi wa CHADEMA, Boniface Jacob, maarufu kama Boni Yai amezipinga vikali hoja za kuwa waliokuwa wanamuunga mkono Mbowe wanabaguliwa. Boni yai pia ameeleza kuwa watu hao hawajatumwa na Mbowe. Unaweza kutufuatilia kupitia; TWITTER:   / thechanzo   INSTAGRAM:   / thechanzo   FACEBOOK:   / thechanzo   TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_... Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105 The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.