Mwanzo Mwisho wa tukio la SABAYA kwenda kutoa shukrani KANISANI
Arusha. Baadhi ya wananchi wamempongeza aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya kwa kuonyesha unyenyekevu na kumtakia heri katika maisha yake mapya, huku wengine wakimsifu kwa kauli aliyoitoa ya kuwasamehe wote waliomkosea. Aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya leo Jumapili February 4,2024 amewaomba msamaha wote aliowakosea na kusema amewasamehe wale wote waliomkosea huku akiwaomba msamaha aliyowakosea pia. Sabaya alitoa msamaha huo katika ibada ya shukrani iliyofanyika katika kanisa la Ebenezer Restoration Ministry of all Nation Moshono Jijini Arusha, baada ya kuachiwa huru na mahakama kwa makosa mbalimbali yaliyokuwa yakimkabili. Msamaha wa Sabaya umepokelewa kwa hisia tofauti na wananchi mbalimbali, ambao wametoa maoni yao kupitia Mwananchi Digital kwamba ni kauli ya kiungwana na unyenyekevu yenye funzo kubwa maishani kwamba hupaswi kukata tamaa kipindi unapitia hatua ngumu.

LIVE: Clouds 360 na Ole Sabaya/Natumia Ubabe Kupata Suluhu ya Wananchi/Huwezi Kumfurahisha Kila Mtu

DADA WA KAZI MFANO WA KUIGWA

LENGAI OLESABAYA AWALIZA WATU KANISANI "NIMEWASAMEHE WALE WOTE WALIONISEMA VIBAYA "

DC SABAYA Amtoa JASHO Injinia, CHUPUCHUPU Amsweke NDANI - "OCS KAMA HUYU"

SABAYA AONGEA kwa UCHUNGU - "KAMA WATESI WANGU WATAENDELEZA VITA - NAMUACHIA MUNGU"....

EXCLUSIVE INTERVIEW PART 1 || MAGORI AFUNGUKA MAZITO MSIMBAZI

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

Makuadi wa Soko Huria - Jenerali Ulimwengu na Gululi Kashinde

MFALME ZUMARIDI AZAWADIWA GARI LA KIFAHARI

Watoto wenye uzito uliopitiliza wawasili Muhimbili kuanza matibabu

Umunsi Inkotanyi zihashya EX-FAR kuri burende ya Kagugu - Ubuhamya bwa Maj Gen (Rtd) Sam Kaka

🔴LIVE: Wananchi KATAVI wanaeleza kero zao kwa PAUL MAKONDA muda huu

NAYOBORAGA ABASIRIKARE BARINDAGA PEREZIDA KAYIBANDA||GEN KARENZI KARAKE YAMPAYE AMADOLARI||RUGENERA

MAKONDA;WAMEJARIBU KUNIUA/WALITUMA DRONE/MIMI NAISHI KWA MIUJIZA/KUNA MTU NILIOKOA MTOTO WAKE

SABAYA AWEKWA HURU KUGOMBEA UONGOZI, AFUTIWA KESI ZOTE, WAKILI WAKE AELEZA

🔴BURUNDI: DORE UDUSHYA TWARANZE IBIRORI BYO GUSOZA AMAHUGURWA Y’ABAPOLISI BARINDA INZEGO ZO HEJURU

MZEE AMVURUGA DC SABAYA - ''Mimi Sio DC Wa Maboksi''

🔴#Live: MANENO MAZITO ya KIKWETE - LISSU - CHALAMILA MSIBANI kwa PROF SARUNGI -WAOMBOLEZAJI WAFURAHI

MAKONDA AMKATAA MBUNGE HADHARANI MBELE YA WANANCHI, "HIZO NI POROJO, HAMNA KITU HAPA"

