Kimeumana! Wafanyabiashara Misungwi wagoma wakilalamikia ushuru
Cheza sasa kupitia https://shorturl.at/jqzU6 na ushinde Baadhi ya wafanyabiashara wilayani Misungwi Mkoa wa Mwanza, wamesitisha huduma za maduka yao kwa kile wanacholalamikia ushuru wa huduma (service levy) unaokusanywa pasipo utaratibu maalumu. Wakizungumza na Mwananchi leo Ijumaa wafanyabiashara hao wamesema mbali na kukusanywa kiholela, pia wanadai wanatozwa kiwango kikubwa nje na utaratibu wa leseni zao. Mkazi na mfanyabiashara katika soko la Misungwi, Ibrahim Manyasi amesema wanashindwa kuelewa utaratibu wa ukusanyaji wa ushuru huo, hali inayosababisha wengi wao kukamatwa pindi wanaposhindwa kulipa kutokana na gharama yake kuwa kubwa zaidi ya leseni yake. Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wilaya ya Misungwi, Deogratius David amesema wafanyabiashara hao wamekubaliana kuendeleza mgomo huo mpaka Jumatatu Machi 25, 2024, pindi wakikutana na uongozi wa wilaya na kutatua changamoto hiyo. Awali akizungumza na wafanyabiashara hao Katibu Tawala Wilaya ya Misungwi, Abdi Makange amewaomba wafanyabiashara hao kufungua maduka yao, huku akiahidi Mkurugenzi wa Wilaya hiyo kukutana nao jumatatu Machi 25, 2024 kwa ajili ya kusikia kilio chao na kulipatia ufumbuzi.

Mwenge wa Uhuru wachochea maendeleo Misungwi

CHALAMILA ALIVYOAGIZA MWENYEKITI AKAMATWE na POLISI BAADA ya KUDAIWA KUTAPELI WATU VIWANJA....

UJENZI DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUKAMILIKA DESEMBA 30, MWAKA HUU

VIDEO: MUONEKANO WA DARAJA LA MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI), 'KUANZA KUTUMIKA DISEMBA 30 MWAKA HUU'

Wafanyabiashara wa Maduka Jijini Mbeya Wagoma Kupinga Manyanyaso ya TRA
![| SUNDAY LIVE | 2027: What It Takes... Martha Karua [Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/ZRwZR4H4kN4/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLDtH3AoZZV6RH-o4UqdkZstou01Kg)
| SUNDAY LIVE | 2027: What It Takes... Martha Karua [Part 1]

MAUAJI YA KUTISHA YATOKEA MISUNGWI VIONGOZI WAKISHUHUDIA RPC MUTAFUNGWA AWASWEKA NDANI!

BREAKING: Gachagua night intelligence saves Kenya

WAFANYABIASHARA WAWILI WADAIWA 'KUTEKWA' SINGIDA, HAWAJULIKANI WALIPO, WAKE ZAO WAELEZA

MGOMO WA WAFANYABIASHARA ARUSHA, MADUKA YAFUNGWA - "MGOMO NDIO SULUHISHO, TUNAFIKISHA UJUMBE"

MCHINA AMEFURAHI KUKAMATWA WALIOMUUA NDUGU YAKE, NDIO WALE WALIDANGANYA MAJINA WAFANYAKAZI WAFUNGUKA

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

UJENZI WA DARAJA LA J.P MAGUFULI MBIONI KUKAMILIKA, BADO MITA 2 ... KUANZA KUTUMIKA DISEMBA

FULL VIDEO KILICHOMPONZA MWENYEKITI WA MTAA HADI RC CHALAMILA KUAGIZA AKAMATWE | UTAPELI WA VIWANJA.

Wananchi Vijibweni waibua kero za barabara, shule na migogoro ya ardhi mbele ya Chalamila

AMOS MAKALLA ATINGA KARIAKOO KUTULIZA MGOMO wa WAFANYABIASHARA, APIGA STOP OPERESHENI ZOTE...

WAFANYABIASHARA MWANZA WATEMA NYONGO BAADA YA KUGOMA KUFUNGUA MADUKA YAO "SERIKALI INATUDIDIMIZA"

TAZAMA SHIBILITI ALIVYOMWELEZEA HAYATI LOWASSA

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

