RAIS SAMIA AMLILIA MTOTO ALBINO ALIYEUAWA KIKATILI.
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema ameguswa na kifo cha Mtoto Albino Asimwe Novart mwenye umri wa miaka miwili na nusu ambaye ameuawa kwa kukatwakatwa viungo vyake katika eneo la Kamachumu lililopo Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera. Akiongea leo June 18,2024 wakati akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari Jijini Dar es salaaam, Rais Samia amesema “Kuna kifo kimetokea na kimenigusa sana cha Mtoto mdogo alikuwa anacheza akatekwa wakamnyofoanyofoa, siku tatu hakijaonekana kimeonekana kimeharibika , tusimame kwa dakika moja tumuombee” Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera, Mtoto huyo alichukuliwa nyumbani kwao May 30 mwaka huu 2024 na mwili wake umepatikana jana June 17 na mpaka sasa Watu wanne wanashikiliwa kwa uchunguzi zaidi akiwemo Baba Mzazi wa Mtoto huyo. Mwili wa Mtoto huyo umekutwa umefungwa kwenye mfuko na kutelekezwa kwenye kalavati barabara ya Ruhanga-Makongora kata ya Ruhanga, Tarafa ya Kamachumu huku viungo vyake vikiwa vimekatwa.

TAZAMA BALAA ALILOFANYA DIAMOND PLATNUMZ ARUSHA, RAIS SAMIA APIGA MAKOFI

HII HAPA KAULI YA SERIKALI, AKIZIKWA MTOTO ASIMWE ALIYEUAWA NA KUKATWA BAADHI YA VIUNGO

Mama asimulia watu wasiojulikana walivyompora mwanawe mwenye ualbino, baba wa mtoto awekwa kizuizini

KIJANA ANAYEIGIZA SAUTI YA RAIS SAMIA AWAVUNJA MBAVU MKUTANONI

KAULI YA JIMBO KATOLIKI JUU YA PAROKO MSAIDIZI,MAUAJI YA KIKATILI KWA MTOTO ALBINO MULEBA

🔴LIVE: VIWANGO BUSINESS FORUM 2026

WAMEYAKANYANGA | WAZIRI MKUU AINGILIA KATI MAUAJI YA MTOTO ASIIMWE, ATOA MAELEKEZO MAZITO

Derby (Paka & Panya) ft. Latifah (Lyrics Video)

FULL SHOO: DIAMOND MBELE ya RAIS SAMIA, VIONGOZI WANYANYUKA KUCHEZA, VAIBU LA KUTISHA...

🔴#LIVE: WAZIRI MBARAWA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA UCHUKUZI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/27

SABABU YA KIFO CHA MBUNGE SHOGO CHATAJWA KANISANI, WAOMBOLEZAJI WAMWAGA MACHOZI "AMEACHA MAPACHA"

Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni, mnyukano mkali watokea

MTOTO ASIMWE AZIKWA, KWA UCHUNGU KATIBU WA ALBINO AFUNGUKA MAZITO "MNAWAJUA WALIOMUUA"

BABA wa ASIMWE AKAMATWA na POLISI AKISHUKIWA Kuhusika na MAUAJI HAYO, BABU ASIMULIA

RAIS SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA MULEBA MKOANI KAGERA

MTOTO WA MIAKA 6 AMLILIA ALBINO ALEEUAWA KIKATILI OMBA KUONANA NA RAIS SAMIA "ACHENI KUUA ALBINO"

MATUSI Natukanwa LAKINI SISIKII RAIS SAMIA AJIBU KUHUSU HADITHI YA CHURA MAGEUZI NITAKANYAGA WENGI

UKIKOSA ELIMU UNAPUNGUKIWA | ELIMU SIO UFAHARI MWENZIO AKIKOSA MSAIDIE

DIAMOND, HARMONIZE na ALIKIBA wakalishwa MEZA MOJA IKULU DODOMA mbele ya RAIS MAGUFULI

