Nemc kufuta historia isiyofutika wilaya ya Kongwa
Wilaya ya Kongwa kuwa Darasa la mafanikio kupitia mradi wa kuwasaidia wananchi kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Ama kweli Wahenga wanasema Mtaka cha Uvunguni shariti ainame Halmashauri ya mji wa kongwa ni miongoni mwa Miji Mikongwe hapa Nchini naa umekuwa na sifa kedekede zikiwemo zile za kusifu na hata za kusikitisha kama baadhi ya nukuu za viongozi zinavyosema kuwa kongwa ni chimbuko la wadada wa kazi za ndani huko mjini munawaita Mahouse Girl sina hakika na hili sanasana na mimi ninaskia kama nilivyokusimulia mimi. Licha ya mambo mengi kuhusu mji huo wacha nikunong’oneze KONGWA ni sehemu pekee ambayo ilitumika katika harakati za Ukombozi wa nchi za Kusini Mwa Afrika vipi inastajaabisha eeeh. Sasa acha nikupe sifa ambayo mtu yeyote akikutajia kuhusu kongwa kichwani kwako kunajengeka nini, Mji huu kwa asili yake una asili ya jangwa shida ya maji kwao ni kawaida tuu walishazoea kuishi kwa kuchimba miamba wakiyatafuta maji ya kulainisha koo zao na matumizi mengine ya kibinadamu kama vile kilimo. Tabu haizoeleki abadani na ndo maana Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakaona waifute historia mbaya vichwani mwa wananchi hawa kwa kuanzisha mradi mkubwa wa kilimo cha umwagiliaji wenye miundombinu rafiki utakao futa kero zao za maji. (Imeandikwa nna Hamis Mniha)

KONGWA NA HISTORIA YA UKOMBOZI WA AFRIKA

How Traore is Magically Growing Real Apples in Desert?

KILIMO AJIRA YANGU-TARI KUWEZESHA KILIMO CHA KARANGA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA NA GEITA

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Kongwa Dam. Costruzione di un invaso per lo sviluppo agricolo e zootecnico

MTANAGE WA UBUNGE JIMBO la KONGWA,GSM AJITOSA,NDUGAI HALI TETE,INJIANIA APEWA SAPOTI YA NGUVU

Mzee wa miaka 99 afia gerezani na ujumbe kwa Rais Samia | GUMZO MAALUM | Sheikh Ponda & M.Ghassani

ODM MAKE DANGEROUS MISTAKE THAT ANGERS RUTO, AND WILL EVENTUALLY COST HIM THE PRESIDENCY!

#live : RAIS SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA, IKULU DAR

ALLY KAMWE "PACOME ATAKAA NJE WIKI 6 KWA UANGALIZI WA MADAKTARI/AMEFANYIWA UPASUAJI WA HARAKA"

Jimi Wanjigi unveils alternative budget and 2027 manifesto, rules out joining opposition alliance

HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

BREAKING NEWS!! President Museven Alagide !! NTV Gen Muhoozi Gyeyagade Ekomawo Mu Style Empya

Hon. Antoine Mugesera:Umwe muri 33 basabye amashyaka menshi||Yahaga FPR amakuru mu ibanga rikomeye

KURASANIRA KISANGANI: KAGUTA MU GUHIRIKA KAGAME|INTANDARO Y'UMWUKA MUBI MU MYAKA 22|INKURU Z'UBUTASI

Nigerians at Kasarani introduced Me to Sim 2 while still in High school,it's now affecting my life

LIVE : RIPOTI NZITO YA LHRC YAFICHUA UKWELI WA OKTOBA 29 – na yote ya 2025

JIMBO LA NDUGAI MATOKEO YATANGAZWA USIKU MNENE AIBUKA KIDEDEA KONGWA

Historia ya Hayati Luteni Jenerali Silas Mayunga Vita Vya Kagera.

