KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU: 03/ 03/ 2024
KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU: 'HII NI KWARESMA: 03/ 03/ 2024 SOMO LA LEO: MAUMIVU YA MWISHO ( LAST PAINS ) NENO KUU: "Zitafakarini njia zenu" (Consider your ways) Hagai 1:7 Yohana 9 : 13 - 16 Mwanzo 41 : 14 - 16 Kutoka 5 : 6 - 9 Kutoka 5 : 20 Kutoka 6 : 1 Yohana 9 : 13 - 16 13 Basi wakampeleka kwa Mafarisayo yule aliyekuwa kipofu zamani. 14 Nayo ilikuwa sabato, hapo Yesu alipofanya zile tope na kumfumbua macho. 15 Basi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi gani alivyopata kuona. Akawaambia, Alinitia tope juu ya macho, nami nikanawa, na sasa naona. 16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa matengano kati yao. Mwanzo 41 : 14 - 16 14 Ndipo Farao akapeleka watu, akamwita Yusufu, wakamleta upesi kutoka gerezani. Akanyoa, akabadili nguo zake, na kuingia kwa Farao. 15 Farao akamwambia Yusufu, Nimeota ndoto, wala hakuna awezaye kunifasiria; nami nimesikia habari zako, ya kwamba, usikiapo ndoto, waweza kuifasiri. 16 Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani. Kutoka 5 : 6 - 9 6 Na siku ile ile Farao akawaamuru wasimamizi wa watu, na wanyapara wao, akisema, 7 Msiwape watu tena majani ya kufanyia matofali, kama mlivyofanya tangu hapo; na waende wakatafute majani wenyewe. 8 Lakini hesabu ya matofali waliyokuwa wakifanya tokea hapo, wawekeeni iyo hiyo, msiipunguze hata kidogo, kwa maana ni wavivu hao; kwa hiyo wanapiga kelele, wakisema, Tupe ruhusa twende kumtolea Mungu wetu dhabihu. 9 Wapeni watu hao kazi nzito zaidi, waitaabikie; wala wasiangalie maneno ya uongo. Kutoka 5 : 20 20 Wakakutana na Musa na Haruni, waliokuwa wanasimama njiani, hapo walipotoka kwa Farao; Kutoka 6 : 1 1 Bwana akamwambia Musa, Sasa utaona nitakavyomtenda Farao; maana kwa mkono hodari atawapa ruhusa kwenda zao, na kwa mkono hodari atawafukuza katika nchi yake Mhubiri: Rev. Dr. Eliona Kimaro Kwa maombi na ushauri : Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053 Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga Simu: +255 713 553 443 YouTube: Kijitonyama Lutheran church Barua Pepe: [email protected]

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA JUMAPILI - IBADA YA KWANZA 21 JUNE 2026

#LIVE MISA TAKATIFU DOMINIKA YA 12 MWAKA A - PAROKIA YA SABUKO

Israel Mbonyi - Swahili Collection (2024)

DAY 4: VITA VYA FAMILIA | Mwl James Kamera | 17 JUNE 2026

Babu Owino, ORENGO CHASED AWAY from Obinna's VURUGU fight

KKKT DMP USHARIKA WA YOMBO I BADA YA JUMAPILI TAREHE 14|06|2026

Ecuador – Curaçao Highlights | Gruppe E, FIFA WM 2026 | sportstudio

See how we had our Corpus Christi Sunday in our simple Church

UMUNSI MUKURU W'ISHURI RYARAGIJWE MUTAGATIFU BERNADETTE - ESB KAMONYI

Powerful Swahili Worship Songs | Ombi Langu, Hakuna Silaha, Mimi Siwezi | Deep Prayer Worship Mix

NAFASI YA KIROHO YA SHUKRANI|| IBADA YA SHUKRANI|| PASTOR GEORGE MUKABWA || 03/03/2024

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MASIFU YA ASUBUHI 21 JUNE 2026

LIVE🔴: IBADA YA SHEREHE YA UFUNGUZI WA JENGO LA KANISA JIPYA USHARIKA MAMA WA KIHISTORIA SIHA SANGO.

🔴# LIVE : 21.06.2026 || MAKAMBI MTAA WA MAGOMENI | NENDA | PR. MUNENE MWANGI

AIC Chang`ombe Choir (CVC) - Litatimia (Live Video)

#LIVE: MISA TAKATIFU DOMINIKA YA EKARISTI TAKATIFU - ASKOFU RUWA'ICHI- KANISA KUU LA MT. YOSEFU DSM

🔴Taarifa ya Habari ya Saa Mbili Usiku, Machi 10, 2024.

YUBILE Y'IMYAKA 25 Y'UBUSASERDOTI BWA NYIRICYUBAHIRO MYR EDOUARD SINAYOBYE KU WA 17/08/2025

KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING 19 JUNE 2026

