MATUMIZI SAHIHI YA VITAMINS KWA KUKU

#agalustv #chicken #eggfarming #tibaasilizakuku #tibaasilizakuku #eggproduction #farming #poultry #poultryfarming 📏 Kiwango cha matumizi kwa vifaranga: Changanya 1 gramu ya vitamin kwa lita 1 ya maji safi ya kunywa Tumia mchanganyiko huu kwa siku 5–10 mfululizo hasa: ✅Tiba asili/Kienyeji za kuku Aina zote:    • Tiba asili/Kienyeji za kuku Aina zote   Siku za kwanza baada ya kuwaleta shambani Baada ya chanjo Kipindi cha hali mbaya ya hewa Wakati vifaranga vina dalili za udhaifu ✅ Follow us Facebook page   / 1egvjfvv14   ♻️ Uendelezaji: Baada ya dozi ya mwanzo, unaweza kurudia tena kwa siku 3–5 kila mwezi au wakati kuna dalili za kushuka kwa nguvu. ⚠️ Tahadhari: Usitumie bila sababu kila siku, vitamini zikizidi pia zina madhara Badilisha maji kila siku, hakikisha yamechanganywa vizuri na ni safi