RC SENYAMULE ATOA POLE KWA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI LA SEKONDARI MTERA

RC SENYAMULE AWATEMBELEA WANAFUNZI WALIOUNGULIWA NA BWENI SEKONDARI YA MTERA NA DAM NA KUWAPA POLE. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary S Senyamule amewatembelea Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtera Dam kufuatia maafa yalijotokea Novemba 12,2025 ya kuunguliwa na moto Bweni lao na kupoteza kila kitu. Kufuatia tukio hilo,Uongozi wa Wilaya ya Mpwapwa iliwalazimu kufanya utaratibu wa kuwahamisha wanafunzi hao na kuwagawanya kwenye Shule mbili ya Mazae na Kimagai "A" ili waweze kuendelea na masomo yao kama kawaida. Mhe Senyamule aliwatembelea Wanafunzi waliopo Shule ya Sekondari Mazae Novemba 13,2025 akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dkt Khatibu Kazungu,Kamati ya Usalama Mkoa na Afisa Elimu Mkoa,ambapo walitoa baadhi ya Mahitaji ya wanafunzi hao waliofikwa na majanga hayo ya kuuguliwa na moto ikiwa lengo ni kuwasidia kwa baadhi ya mahitaji na kuweza kuendelea na masomo yao bila kuwepo changamoto yoyote. Akizungumza na Wanafunzi hao Mhe Senyamule amesema jambo jema la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna maisha ya mwanafunzi yoyote yaliyopotea zaidi ya vitu tu ambavyo vinaweza kutafutwa,ila uhai wa mtu hauwezi kutafutwa wala kupatikana sehemu yoyote. "Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuna kati yenu ata mmoja aloungua wala kupata madhara zaid ya kuunguliwa vitu tu, vitu vinatafutwa watu hawatafutwi" amesema Mh Senyamule Hata hivyo,Mhe Senyamule ameupongeza uongozi wa Wilaya ya Mpwapwa kwa jitihada zao walizochukua kuhakikisha Wanafunzi hao wa kidato cha tano na cha sita wanaendelea kipata masomo yao kama kawaida. Vilevile kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Mhe Dkt Sophia Mfaume Kizigo amesema uchunguzi wa awali unaonesha kuwa akali hiyo ya moto imesababishwa na hitilafu ya umeme iliyojitokeza kwa miundombinu ya nishati iliyomo ndani ya jengo hilo.

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy
▶︎

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

Trump Attends NBA Finals, Cries Election Fraud in California & Storms Out of Interview
▶︎

Trump Attends NBA Finals, Cries Election Fraud in California & Storms Out of Interview

Can Your 7-Year-Old Dance Like THIS? 😮 CUTEST Little Girl Drops JAWS!!
▶︎

Can Your 7-Year-Old Dance Like THIS? 😮 CUTEST Little Girl Drops JAWS!!

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu
▶︎

AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

JESHI LA UHAMIAJI LATOA MAFUNZO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI
▶︎

JESHI LA UHAMIAJI LATOA MAFUNZO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI

Utumishi Girls fire survivor reveals dispute behind dorm blaze
▶︎

Utumishi Girls fire survivor reveals dispute behind dorm blaze

MAAFISA USAFIRISHAJI WATAKIWA KUFUATA UTARATIBU WA KUTUMIA VYOMBO VYA MOTO.
▶︎

MAAFISA USAFIRISHAJI WATAKIWA KUFUATA UTARATIBU WA KUTUMIA VYOMBO VYA MOTO.

ZAHANATI YA MSANGAMBUYA YAFUNGULIWA RASMI.
▶︎

ZAHANATI YA MSANGAMBUYA YAFUNGULIWA RASMI.

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATOA MAFUNZO YA URAIA NA UTAWALA BORA.
▶︎

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YATOA MAFUNZO YA URAIA NA UTAWALA BORA.

NAIBU WAZIRI OWM-SBUU AWAPA TABASAMU WATOTO WENYE ULEMAVU MLALI
▶︎

NAIBU WAZIRI OWM-SBUU AWAPA TABASAMU WATOTO WENYE ULEMAVU MLALI

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera
▶︎

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

HAKIKISHENI WATOTO WANAOISHI MITAANI NA WANAOFANYA KAZI MITAANI WANALINDWA NA KUPATA HAKI SAWA.
▶︎

HAKIKISHENI WATOTO WANAOISHI MITAANI NA WANAOFANYA KAZI MITAANI WANALINDWA NA KUPATA HAKI SAWA.

Ghetto Kids Bruno's First Golden Buzzer Full Performance | Britain's Got Talent 2023 Auditions WK 1
▶︎

Ghetto Kids Bruno's First Golden Buzzer Full Performance | Britain's Got Talent 2023 Auditions WK 1

MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA (PART 1)
▶︎

MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA (PART 1)

DC MASANJA AZINDUA MRADI WA KUIMARISHA MSHIKAMANO BAINA YA MADHEHEBU YOTE YA KIDINI TUNDURU.
▶︎

DC MASANJA AZINDUA MRADI WA KUIMARISHA MSHIKAMANO BAINA YA MADHEHEBU YOTE YA KIDINI TUNDURU.

HILDA ASSUMES OFFICE AFTER SWEARING IN AS HIIMA TC MAYOR, PLEDGES DEVELOPING HIIMA
▶︎

HILDA ASSUMES OFFICE AFTER SWEARING IN AS HIIMA TC MAYOR, PLEDGES DEVELOPING HIIMA

KAMATI YA ALAT MKOA YAIPONGEZA  MPWAPWA KWA MIRADI MIZURI.
▶︎

KAMATI YA ALAT MKOA YAIPONGEZA MPWAPWA KWA MIRADI MIZURI.

IRINGA MC YANUFAIKA NA MRADI WA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIA NCHI
▶︎

IRINGA MC YANUFAIKA NA MRADI WA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIA NCHI

Ukatili wa kingono kwa watoto waitesa Dodoma
▶︎

Ukatili wa kingono kwa watoto waitesa Dodoma

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)
▶︎

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)