WASICHANA Mlioitwa kuwa MASISTA, Mnakaribishwa SHIRIKA la MABINTI wa MARIA
Wanautume wa Familia ya Nyumba Aminifu wazidi kukoleza na kuhamasisha Wasichana wengi zaidi wajisikiao kuitwa kwenye maisha ya Utawa kuwa tayari bila kusita kujiunga na mashirika mbalimbali ya Kitawa kadiri wasikiavyo wito kuishi Karama fulani. Ewe Msichana unayetamani kujiunga maisha ya Utawa kwenye SHIRIKA lolote lile lakini hujui uanzie wapi, unaweza kuwauliza Wananyumba Aminifu ili wakuelekeze uwaone nani wa kukusaidia. Njia moja rahisi, muone Paroko wako kwa ushauri kwa masuala mbalimbali ya Kiroho na Miito. Lakini pia Mzazi kama unabinti anayependa kujiunga na Utawa au hata Seminari lakini hadi sasa hujajua utamsaidiaje Kijana wako, basi Piga Simu 0655416993 au 0735415415 au nenda kwa Paroko au Padre mwingine yeyote Kanisa Katoliki utapata msaada. Uwe mzazi mwema, usizuie Wito wa Kijana wako, uwe kama Mzee Eli alimsaidia mwanawe Samweli Kuitika Wito (1Sam3:1-21

NAWASIHI MWENENDE KAMA INAVYOUSTAHILI WITO WENU MLIOITIWA EFE 4:1

Wito Wangu SO4 EP03 - Sr. Mariana Ndyanimanya, LSOF | Historia ya Maisha Yangu katika Wito

Sr. Mariana Ndyanimanya asema wazi wazi Changamoto katika Safari yake ya Wito wa Utawa.

#LIVE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU YA NADHIRI ZA KWANZA SHIRIKA LA MASISTA WA WABENEDICTINI-SAME

MAELFU WAJITOKEZA KATIKA MAANDAMANO YA EKARISTI PAROKIA YA KNDEGE DODOMA

MAISHA ya UTAWA bwana MTU anaishi Kama MBINGUNI, Wasichana MLIOITWA jiungeni HUKU, hadi RAHA

Santo Rosário | Sexta-feira | 04:00 | 12/06/2026 | Live Ao vivo

NDANDA Kumenoga, VIJANA 9 Waweka Nadhiri kwa WABENEDICTINE La tangu 529 BK

"Kama umeitwa katika Maisha ya Ndoa ukifikiria Maisha ya Kitawa yatakuchanganya" Sr. Veritas Likuda.

MAISHA YA UTAWA YANA RAHA YAKE, MSICHANA MWENYE WITO WASILIANA NA MASISTA WA MKOMBOZI 0688347562

LIFAHAMU SHIRIKA LA MASISTA WA MT. FRANSISKO WACAPUCHIN WA MAUA NA MAANA HALISI YA MAUA

#LIVE: Misa ya Nadhiri za Daima na Jubilei ya Miaka 25, Shirika la Bikira Maria Imaculata Chikukwe.

MISSIONARY SISTERS OF EVANGELIZATION

"HUU NDIO UTARATIBU WA KUJIUNGA NA SHIRIKA LA IHSA MUSOMA"Na Sista Maria Maingu

ILI KUWA MTAWA WA KIKE INABIDI UPITE KATIKA HATUA HIZI

#LIVE ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU NADHIRI ZA DAIMA NA JUBILEE YA FEDHA NA DHAHABU MASISTA WA MAUA

KRISTO ATAWALE, KWAYA YA MABINTI WA MARIA KIPALAPALA TABO

Utambulisho wa Mapadre na Ndugu wa Padre Mpya Kanisio, Mama Mzazi Aitwa Mbele Kumlaki Mwanae

#HIVYO NDIVYO MKUU WA PROVINSI AFRIKA MASHARIKI SR VESTINA ALIVYO WAPANGIA KAZI MASISTA WAPYA.

