The Giant Julius Charles: Mtanzania anayevaa viatu vya 'size' 18

'Kuna wanaozimia wakiniona na wengine hukimbia' 'Kwa kawaida nakula chapati 5-6 kwa mkao mmoja'. 'Viatu vyangu size 18' Huu ndio ukweli halisi anaokumbana nao kijana Julius Charles @the_giantjulius mkazi wa Jiji la Dar es salaam, Tanzania Je ana mke na watoto ? Kitanda chake kinatoshana vipi? Anapenda kula nini? Na mlango je ? Ungana na mwandishi wetu @frankmavura kufahamu mengi zaidi kuhusu maisha ya kijana huyu mwenye vipaji lukuki. . . #juliuscharles #thegiantjulius #tanzania