Unataka Kuanzisha Biashara? Hivi Ndivyo Unavyopata Leseni!
Wanasema kupata leseni ya biashara Tanzania ni misheni isiyowezekana. Wanakutisha na hadithi za urasimu, foleni zisizoisha, na gharama za ajabuajabu zinazokuvunja moyo. Wengine watakwambia, "BILA CONNECTION, UTASAHAU!" na utaishia kukimbizana na makaratasi kwa miezi! LAKINI NGOJA NIKUAMBIE KITU. Kama ningekwambia hadithi hizo ni za kizamani? Kwamba unaweza kumaliza kila kitu ukiwa umekaa kwenye sofa, kwa kutumia simu yako TU? Kwenye video ya leo, tunaenda kuivunja rekodi na kuonyesha ukweli ambao baadhi ya wadu hawafahamu How to start business Channel tunatoa elimu ya kuanzisha na kuendeleza biashara, kwa vijana waliomaliza vyuo vikuu na wanataka kujiajiri. Tunatoa elimu ya jinsi ya kuanzisha na kuendeleza biashara. Pia tunatoa elimu ya hesabu za biashara na uwekezaji katika biashara. Tunafundisha misingi sahihi ya kuanzisha biashara. Tuna eleza jinsi ya kutambua fursa za kuanzisha biashara. Pia tunafundisha umuhimu wa kuchangua makundi ya wateja. Tuna sisitiza umuhimu wa kuwasiliana na wateja mara kwa mara kufahamu changamoto zao na mhitaji yao. Tunafundisha umuhimu wa kutengeneza hesabu za biashara. Hesabu za biashara husaidia kufahamu, kama biashara inapata faida au hasara. How to Start Business Channel inatoa elimu ya ujasiriamali kupitia vitabu, videos, website, Online School na Online Television 1. Kupata eBooks za Ujasiriamali, wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439 2. Link ya Tan Business Online School: https://ali-mwambola-s-school.teachab... 3. Website yetu: https://www.tanbusiness.co.tz 4. Mitandao yetu ya kijamii: Facebook: / tanbusiness Instagram: / tanbusiness YouTube: / alimwambola #jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwambola #tuongeebiashara #ujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali

(TRA) USIANZISHE BIASHARA KABLA HUJA ANGALIA HII VIDEO, JINSI YA KUANZISHA BIASHARA NA KUPATA LESENI

ZINGATIA MAMBO HAYA KAMA UNATAKA KUFANYA BIASHARA YA NAFAKA

3 SECRETS TO WEALTH IN THE RICE BUSINESS! (Corn Week) Episode 1 #rice #corn #profit

Fahamu jinsi ya kutumia vigezo 5 kupata mkopo wa bank

BIASHARA ZINAZOKIDHI VIGEZO VYA KUWA NA LESENI ZA BIASHARA KUNDI 'A'

From Zero Mpaka Millionaire Before 30 | Hizi Ndio Mbinu Zote Nilizotumia

Jinsi ya Kupata Milioni 1 Kila Mwezi kwa Mtaji wa 800k Tu! (Siri ya Thomas Mnyau)

CHRIS LUKOSI: MJASIRIAMALI ALIYEBADILI MAUMIVU KUWA MAFANIKIO

NJIA ZA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene

FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA LESENI ZA BIASHARA KUNDI A

4 ways to start a grain business with little capital

JINSI YA KUSAJILI JINA LA BIASHARA AU KAMPUNI KWA USAHIHI

Unajua kwanini unahitaji 'TIN namba'? Ielewe vizuri hapa

HIZI NI BIASHARA 25 UNAZOWEZA KUFANYA KWA MTAJI WA ELFU 20 TU!

FAHAMU FAIDA ZA KUWA NA JINA LA BIASHARA

FAIDA ZA KUSAJILI JINA LA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA WAKUBWA NA WADOGO

Leseni ya biashara online|Tausi

FANYA BIASHARA HIZI NNE (4) UFANIKIWE

Fahamu mbinu 3 za kukabili ushindani wa biashara bila kupoteza pesa

