#live🛑MARUFUKU PIKIPIKI ZA CCM KUTUMIKA KAMA BODA BODA/MSITUMIE MWAMVULI WA CCM KUVUNJA SHERIA.
Katibu wa Ccm Mkoa wa Kigoma,Mobutu Malima,amewataka viongozi wote wa Ccm waliopewa piki piki kama vyombo vya kurahisisha shughuli zao za kichama,kutozitumia pikipiki hizo kama boda boda na kujipatia kipato. Aidha Malima amewataka viongozi hao kufata taratibu za sheria za usalama barabarani na kuacha kutumia mwamvuli wa Ccm kuvunja kanuni na sheria za Nchi. Malima ametoa rai hiyo katika kikao cha halmashauri kuu ya Ccm wilaya ya kigoma vijijini alipoalikwa kufungua kikao hicho. #live #breakingnews #habarimpya #diamondplatnumz #sisi #ikulumawasiliano #quotes #simbasc #kitengetv #wasafitv #harmonize #editing #wasafitv #Tanzania mpya#hindi #edit #omletarcade @Smile media update.

▶︎
🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

▶︎
BABA LEVO APIGWA MASWALI NA WANANCHI WA KIGOMA"MIKATABA YA BUNGENI NI YA KINGEREZA NA HUJUI" ...

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
HOTUBA FULL YA BABA LEVO KIGOMA/ALIYOYAONGEA YOTE/VITIMBWI VYAKE VYOTE/APIGWA SWALI NA WANANCHI..

▶︎
Worst Plane Landing Fails Caught on Camera

▶︎
MWENYEKITI CHADEMA KIGOMA AMLIPUA FREEMAN MBOWE "HAO WANAKUDANGANYA"

▶︎
#NZILANYINGI AWAKA BUNGENI ATAKA BARABARA YA MJINI KISESA,MJINI USAGARA IJENGWE📍

▶︎
LONGIDO YATOA MIKOPO YA SHILINGI MILIONI 180 KWA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

▶︎
🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

▶︎
ZITTO TUNAICHUKUA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI

▶︎
BREAKING: U.S. launches new strikes on Iran

▶︎
Türkei – USA Highlights | Gruppe D, FIFA WM 2026 | sportstudio

▶︎
BABA LEVO HANA MPINZANI KIGOMA MJINI, MIKOA MINGINE WANAMTAKA, ATAFANYA MENGI SANA

▶︎
KAULI YA BABA LEVO BAADA YA KUSHINDWA KURA ZA MAONI ZA UBUNGE KIGOMA/ATEMA CHECHE/ATAJA SABABU

▶︎
HECHE: MKE WA TUNDU LISSU NA DADA YAKE POLE POLE WAMEUWASHA MOTO BUNGE LA ULAYA

▶︎
UCHAMBUZI MZITO KUHUSU AGIZO LA MARUFUKU MIKUTANO, JE HII INAMAANA GANI?

▶︎
Trump LOST Iran War: See humiliation of war policy from Right, Left & Center

▶︎
#MZEE MWENYE WATOTO 200 NA WAKE 23, DC LONGIDO AAHIDI KUMGHARAMIA HUDUMA ZA MATIBABU YA MACHO🔥🔥

▶︎
🔴Makamu wa Rais Nchimbi Azua Balaa tena, Wabunge Wapigana Bungeni kwa Maneno Makali, Spika Aingilia

▶︎
