MITIMINGI # 248 MTOTO HATAKIWI KULELEWA KAMA YAI

Mara nyingi nimesikia wazazi wanawadekeza watoto, kiasi kwamba mtoto akihitaji kitu chochote kile anapewa. Wazazi hawa kwa asilimia kubwa wanawaaribu watoto, Mtoto akiwa mtu mzima atashindwa kulea na kutunza familia kwa sababu ya malezi ya kuruhusu. ANGALIZO KWA WAZAZI - Kama unampenda mwanao na unapenda aje kuwa na maisha mazuri, mpatie adhabu anayostaili pale anapokosea. Akilia/Mchozi ukitoka ni tiba. Mch na Mwl. Dr MITIMINGI p. Counseling Psychologist +255 713 18 39 39