#TAZAMA| MWALIMU MKUU, WANAFUNZI WAANIKA SIRI YA SHULE MKILINDI KUONGOZA KIDATO CHA 6

Julai Tano mwaka huu Baraza la Taifa la mitihani liliweza kutangaza matokeo ya kidato Cha sita Ambapo shule ya Sekondari ya mkindi iliyopo wilayani Kilindi katika mkoa wa Tanga iliweza kushika nafasi ya Tisa kitaifa. Mkuu wa shule hiyo chiku athumani akabainisha siri ya mafanikio Yao ni kujituma na nidhamu. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09