KUKU WA SEKELA

Kuroweka Mpande 6 ya mguu na paja Nusu kikombe mtindi Unga wa bizari nzima – kjk 1 kikubwa Unga wa mbegu za giligilani (coriander) Kjk 1 kikubwa Pilipili nyekundu ya unga kjk 1 kidogo Pilipili manga ya unga kjk 1 kidogo Tangawizi mbich na kitunguu thom ya kusaga – vjk 2 vikubwa Chumvi kiasi Ukwaju mzito – vjk 3-4 vikubwa Mafuta ya halizeti ( au yoyote) Vjk 3 vikubwa Maji ya ndimu au limao – vijiko 2 vidogo Urojo wa ukwaju Nyanya 2 1 garlic clove Tangawizi mbichi kidogo Majani ya nana 5 Majani ya dhania/kotmiri vitawi kiasi 4 Pilipili ya kijani 1 au zaidi Maji ya ukwaju kiasi Vijiko 2 Chumvi kiasi kachumbari Kabagi lilokatwa Vitunguu vilokatwa vyembamba Matango yalo katwa vipande vidogo Nyanya zilokatwa ndogo ndogo Chumvi kiasi Maji ya ndimu au limao Maji ya ukwaju (kama utapenda Note: Roweka ukwaju kiasi gram 100 kwenye maji ya vuguvugu kiasi kikombe 1. Weka kiasi dakikia 10 halafu kamua utapata urojo mzito ambao utatumia kwa kuroweka kuku. Ongeza maji kwenye ukwaju tena, ukisha kukamua utapata urojo wa uzito wa kiasi , utatumia kwa rojo la pilipili na kwa cabbage kama utapenda Aroma of Zanzibar social media   / fathiya.ismail     / aromaofzanzibar   Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas https://www.youtube.com/results?searc... Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka https://www.instagram.com/faroukambok... Music courtesy   / contemplative-middle-east-oud-improvisation   This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world